Happy Birthday Hajar

Namimi niitikie dua ya kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa japo kwa kuchelewa , Aamin
 
kwa ushemeji umechelewa tyr labda uunge udugu Mjina mrefu tukupeleke T.A
Hebu nikuulize swali Ukhuty, kwa malezi mazuri mliyopewa na wazazi wenu hapo nyumbani wewe na Mwifwa si mnapokea barua za posa za Hajar kila siku hadi mnachoka? Sasa bado tu hajafanya maamuzi watu waje kula ubwabwa?
 
Mungu mwenye enzi akuongezee wingi wa siku zenye afya njema,, akuzidishie miaka na maisha marefu, uwaone wana na wana wa wana wa wana wako.

Happy birthday, Hajar!

Vv
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…