Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,361
- 283,424
Bandikule ni aina ya ulanziView attachment 2611404
Leo hii ni siku ambayo tunakumbuka Kuzaliwa kwa Mpigania Haki muhimu wa Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula , ambaye wapenda haki wengi wanamuita Desmond Tutu , huku wengine wakimuita Malcom X .
Mwamakula ni Miongoni mwa Viongozi wachache sana wa dini wa kiafrica walioamua kusimama na wananchi katika kupigania haki , hakuwahi kuogopa mikwara ya Watawala wala hakuwahi kuogopa kukamatwa , hakujali hata alipodhalilishwa na Lazaro Mambosasa , bali yeye alisimama na wananchi na kiukweli bado yuko na wananchi wakati huu tukielekea kwenye kupata Katiba mpya.
Si rahisi kuelezea umuhimu wa Askofu huyu kwa nchi hii , Lakini kwa ufupi naomba kumtakia Baba Askofu huyu Maisha marefu , Amina .
Masikini wengi wanawaza kulewa tuBandikule ni aina ya ulanzi
USSR
Sisi siyo walokole , walokole ni Gwajima na Tulia Ackson ambao ni wabunge wa ccmHuyu mwehu nae ni Kiongozi wa Dini? Hivi WALOKOLE hamnaga akili kiasi hiki?
Huyo mwehu ni MLOKOLE, afu mwambie apate lishe ya maana, iko siku atapeperushwa na upepo.Sisi siyo walokole , walokole ni Gwajima na Tulia Ackson ambao ni wabunge wa ccm
Sasa unalia nini ?Huyo mwehu ni MLOKOLE, afu mwambie apate lishe ya maana, iko siku atapeperushwa na upepo.
Wewe kunenepesha makalio yako ndiyo unajiona una siha nzuri siyo?Huyo mwehu ni MLOKOLE, afu mwambie apate lishe ya maana, iko siku atapeperushwa na upepo.
[emoji38][emoji38][emoji38]Wewe kunenepesha makalio yako ndiyo unajiona una siha nzuri siyo?
Wehu ulimpa wewe?.Huyu mwehu nae ni Kiongozi wa Dini? Hivi WALOKOLE hamnaga akili kiasi hiki?
AmenHappy birthday Askofu wangu Mungu akuzidishie siha njema na umri mrefu, ili ushuhudie Tanzania mpya itakayotoa HAKI kwa watu wake. Tanzania isiyoongozwa na wezi wa mali za umma.
Tanzania yenye Katiba bora na mpya,Tanzania yenye tume HURU ya Uchaguzi, Tanzania ambayo itaongozwa kwa Kura moja mtu mmoja,
Tanzania itakayokuwa na Taasisi imara zinazojiendesha kwa kufuata katiba na sheria na sio matakwa ya wanasiasa.
unaweza kujinyonga tu ili ukafie mbali , lakini huwezi kubadilisha ukweliAcheni kumfananisha Malkolm X na vitu vya ajabu
View attachment 2611404
Leo hii ni siku ambayo tunakumbuka Kuzaliwa kwa Mpigania Haki muhimu wa Tanzania Askofu Emmaus Mwamakula , ambaye wapenda haki wengi wanamuita Desmond Tutu , huku wengine wakimuita Malcom X .
Mwamakula ni Miongoni mwa Viongozi wachache sana wa dini wa kiafrica walioamua kusimama na wananchi katika kupigania haki , hakuwahi kuogopa mikwara ya Watawala wala hakuwahi kuogopa kukamatwa , hakujali hata alipodhalilishwa na Lazaro Mambosasa , bali yeye alisimama na wananchi na kiukweli bado yuko na wananchi wakati huu tukielekea kwenye kupata Katiba mpya.
Si rahisi kuelezea umuhimu wa Askofu huyu kwa nchi hii , Lakini kwa ufupi naomba kumtakia Baba Askofu huyu Maisha marefu , Amina .
Mimi au Mwamakula ?Ila we jamaa mnafiki sana.