Elvice Junior
Senior Member
- Jan 6, 2017
- 188
- 220
Babu aka kajinsia kaliwahi nifikisha tuu kilele cha Mt Kilimanjaro, but vilele vingine hususan kilele land sijawahi fika labda unisaidie nifike...
Jamani kumbe ulishaniacha?Sawa nikitoka labour katoto kako nakaacha hukohuko. Happy birthday mpenzi wangu wa zamani
Foleni kubwa sana. Naepusha msongamanoJamani kumbe ulishaniacha?
Mi namwachia Mungu
Foleni ya kuelekea wapi?Foleni kubwa sana. Naepusha msongamano
Kuja kwakoFoleni ya kuelekea wapi?
Nafasi iko wazi, wahi!Kuja kwako
Af katikati ya safari nipigiwe honi ya kumpisha mwingine tafadhali bwanaNafasi iko wazi, wahi!
Hapana... mi siendeshi daladalaAf katikati ya safari nipigiwe honi ya kumpisha mwingine tafadhali bwana
Hahahaa ila wanawake wanajaa costaHapana... mi siendeshi daladala
Mi naendesha bodaboda. Abiria mmoja tuHahahaa ila wanawake wanajaa costa
Kwendraa. Ndo nimeshakuacha sirudi tena utabakia kuwa dear XMi naendesha bodaboda. Abiria mmoja tu
si inakuwaga march hii birthday ya January imekuwaje sasa?Hahahahaa.... yani umeanza vizuri ukamalizia vibaya. Mi nimemuachia Mungu.
Thanks for the wishes Valentina wangu. Am humbled
Yes I will marry you!
He...!!!si inakuwaga march hii birthday ya January imekuwaje sasa?
Nani kakupa kibali cha salaam hizi?Miaka kadhaa nyuma trh kama yaleo dunia ilipata kiumbe kipya,wazazi pamoja na ndugu na jamaa walifurahi na kushangilia ujio wa kiumbe hiki...
Hatimae kikakua katika kimo na ufahamu mpaka hapo kilipo... Umekua ni chachu ktk familia na rafiki wa rika zote. Ashukuriwe Mungu aliekuumba na kukupigania dhidi ya yule mwovu. Washukuriwe wazazi/walezi walio jitoa kwako bila kusahau marafiki waliokujenga kwa changamoto mbalimbali
Life is very short,
So enjoy every moment,
Dont lose your confidence
Go always ahead.
Happy Birthday to you Asprin
Ila uache ubazazi sasa ushazeeka we kizee
Oh.. thanks mkuu...Look very mkuuu....
Happy birthday, stay blessed always.