Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,943
- 25,284
Anayo akijisikia atawaambia, huoni hata idadi ya waliopona alikuwa nayo akaamuru waitangaze ndio ikatangazwaRais ana habari kuwa idadi ya waliokufa si kumi tena?
Anayo akijisikia atawaambia, huoni hata idadi ya waliopona alikuwa nayo akaamuru waitangaze ndio ikatangazwaRais ana habari kuwa idadi ya waliokufa si kumi tena?
Na wewe umeona?Nilikua maeneo hayo mkuu
Ukiweka tu unafutwaMimi naona bora uanzishwe uzi wa TULIOOPOTEZA WAPENDWA WETU KWA UGONJWA WA CORONA TUPEANE UPDATES...
Nashauri lakini kama hautakuwa na madhara kwa jf lakini
Labda wanahofia usalama wa jf.basi..
Una jirani, ndugu, au rafiki aliyepoteza maisha kwa korona?Mkiambiwa Tz wagonjwa wa COVID 19 wametimia 10000 mnabisha mnawasikiliza waliopewa maelekezo ya kuwatangaza waliopona tu
NadhaniLabda wanahofia usalama wa jf.basi..
Ukitoka kuzika huko Kondo nenda kazungushe mikono.Kaziacha lumumba
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Sio lazima aseme.Wapi kasema kuwa ni mwana CHADEMA?...
Kwahiyo hao ndugu wa familia 10 wamebandikwa label hadi ukaweza kutofautisha ni ndugu 10 na sio ndugu wa marehemu moja, mkiwekwa kizuizini kwa kuzua taharuki mtamlaumu nani?Mkuu mimi.sitafuti umaarufu wala siitaji
Kama unabisha njoo makaburi ya.kondo ukiwa unatokea chini mitaa ya kanisa katoriki la st. Andrew, njoo moja kwa moja mpka mwisho wa makaburi kwa juu utaona mwenyewe
Bavicha hamuaminikiMkuu mimi.sitafuti umaarufu wala siitaji
Kama unabisha njoo makaburi ya.kondo ukiwa unatokea chini mitaa ya kanisa katoriki la st. Andrew, njoo moja kwa moja mpka mwisho wa makaburi kwa juu utaona mwenyewe
Acha uzushi, kama mnaliopwa kuja kuzua taharuki be carefulNdio wapi huko kondo bahari beach?
Mimi juzi ndugu yangu tumenyimwa maiti tukaambiwa atazikwa na serikali katika makaburi ya Ununio.
Korona inaua sana jamani.
Cha kushangaza...idadi bado ni 10 tu. Acha tuzidi kujikinga jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Wewe jamaa comment zako karibia zote ngumu tu always. Yaani ubaya ubaya.
Nyie ndo mashushu wenyewe.Kwahiyo hao ndugu wa familia 10 wamebandikwa label hadi ukaweza kutofautisha ni ndugu 10 na sio ndugu wa marehemu moja, mkiwekwa kizuizini kwa kuzua taharuki mtamlaumu nani?
Hii habari naisoma mpaka mwili wote unasisimka, inaogopesha kwakweli.😤Mhh!...