Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
uani hapo ndugu yanguHmmmm..........hapo ni barazani sio?
ungejjua kuwa na mimi Niko A townmmmnh hicho ni kitanda au nini?nikaribishe kwako nije kutoa ushamba,lol
Natengeneza fasta kama hicho..........uani hapo ndugu yangu
utaweza kukitunza?Natengeneza fasta kama hicho..........
ungejjua kuwa na mimi Niko A town
sio mbali na yeye yuko hapo hapo a town ..namlia timing tu sema hajuiKwani mbali mkuu. Nice picture mkuu !
kibustani kizuri sana hicho lazima nitakiiga niwe nacho kwangu siku moja. Kilivyo kidogodogo sitaona uvivu kukitunza.
[/B]
kumbe ww ni mvivu wa kutunza vikubwakubwa!!!!oa
mkuu kitanda kiko poa sana.ila nahofia mdudu washa hawezi kosa ktk hizo nyasi.oacheki kwanza:
View attachment 48788
kibustani kizuri sana hicho lazima nitakiiga niwe nacho kwangu siku moja. Kilivyo kidogodogo sitaona uvivu kukitunza.