Hapo ulipo kuna mapenzi ya kweli au unachunwa?

Hapo ulipo kuna mapenzi ya kweli au unachunwa?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
40,177
Reaction score
62,220
Hapo ulipo kuna mapenzi ya kweli au unachunwa?
Wanaume wengi tumekuwa katika mahusiano tukiamini tunapendwa kwa dhati, kumbe kwa upande mwingine tunapendwa kwa sababu tunatoa huduma fulani; inapokuja kutokea changamoto za kiuchumi hasa kuyumba kwa kipato, hapo ndipo mtu anapokuja kugundua alipendewa kile alichonacho. Je katika mahusiano yako ya sasa,ni kweli unapendwa au unachunwa?
 
Back
Top Bottom