Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,080
- 12,319
Mambo vipi wadau? Naimani mko poa. Hivisasa mmerudi kwenye miangaiko ya kulijenga Taifa letu pendwa. Leo mwenzenu limenikuta jambo ambalo ckutegema linikute maishani mwangu, nikaona sivibaya nililete janvini labda naweza pata mawazo mbadala na yale ninayo waza. Bila kupoteza muda, mimi ni mume wamtu nilie dumu kwenye ndoa takribani miaka mitano ( 5 ) katika ndoa yangu nimebahatika kupata mtoto mmoja. Nathubutu sema kua mkewangu ni mrembo sana, lakini sijui nini kinanifanya nitoke nje ya ndoa yangu. Sasa ktk tokatoka yangu nikaangukia ktk penzi la mama mwenye nyumbaangu. Nikawaida kila siku tuna kutana sehem tunayo ijua wenyewe na kumkufulu mungu huko. Tulianza kama maskhara mpaka sasa penzi limeota mizizi. Sasa hapa juzi mke wangu amesafiri kwenda kwao kusalimia ndugu na jamaa, hapa nyumbani katuacha mimi na mwanetu na mdogo wake wa kike ( shemeji ) mwenye umli wa miaka 16, ambaye anasubiri majibu ya 4m 4. Sasa yule mama mwenye nyumba akaona huu ndio muda wa kufaidi ma penzi yetu. Juzi akaniita chumbani kwake nika ingia huko tukafanya tulio fanya baada ya kumaliza akaniomba tuende chooni tukajimwagie. Kimbwanga kilinikuta muda ambao tulikua tuna toka chooni, usakwa uso na shemeji yangu. Kwakweli nili fedheheka sana kalibu kuzimia. Bila wasiwasi shemeji alitupisha sisi tuna toka yeye anaingia ( chooni ) Nilivyo toka pale moja kwa moja mpaka chumbani kwangu, nikawa najiuliza nitajiteteaje kwa shemeji yangu? Nikiwa nime zama kwenye mawazo mara mlango ukagongwa, nika fungua kujua ninani, kumbe alikua shemeji, kabla cja muuliza kuli koni nilshtuka kesha pita mpaka ndani. Namimi nikaji sogeza taratibu kumsikiliza. Akaanza kuni uliza nilikua na fanya nini na yule mama, nikawa sina jibu zaidi ya kujingata meno tu huku nikihofu asije kumuambia dadaake. Chakushangaza akaniambia kua vyote nilivyo kua na fanya na yule mama aliviona, tena tangu naingi chumbani kwa yule mama yeye alikua akini chungulia kupitia mlangoni mwake, kwa hiyo akaniomba ili asimwambie dada yake, nibora na yeye nimpe. Kwakweli nilizidi kupagawa sana, tena kwa mambo mawili kwanza ni shemeji yangu pili yeye bado ni mtoto tena mwana funzi. Kilichotekea nika muadaa kua kesho, ambayo ndio leo nita mjibu, nikijua labda nikimnunulia zawadi ataachana na mawazo yake. Kwashingo upande aka kubali. Leo nimerudi toka kazini yeye ndio wakwanza kuniulizia jibu lake, nivipi nime mkubalia au vipi. Kwakweli sijielewi nifanyeje, ikiwa ndani ya nafsi yangu sikubaliani nae, kwakweli siwezi, tena siwezi. Mtoto mdogo nimvulie chupi yangu? Aaa wapi? Lakini je akimwambia dada yake siku akirudi? Nahisi patakua hapatoshi. Ivisasa binti yuko chumbani kwake anasubili watu walale ani tokee.