Wakuu,
nimepishana na DCM pale tegeta limejaa akina mama wametoa. makalio nje
ya dirisha wakiwa uchi kabisa(nasisitiza uchi kabisa) wanakatika makalio
yakiwa nje!
Imezuka taharuki kubwa hapa! ni msafara kama wa harusi!
Hii haikubaliki naomba askari wawakamate mara moja!