MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,200
Imekuwa kawaida kwa CDM kutimua yeyote mwenye mwenendo tofauti na Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu, Dr. Slaa. Jambo lililo wazi ni kwamba haijawahi tokea Mchaga kufukuzwa ama kusimamshwa katika uongozi.
- Je wachaga ni waadilifu ndani ya chama?
- Kwa nini nje ya wachaga huundiwa kesi ama wachaga hawana makosa
- Uhusiano wa Mbowe na Mtei unatia doa