Hapana Chezea Chadema; Wengine Hutimuliwa, Wenyewe NO!

Hapana Chezea Chadema; Wengine Hutimuliwa, Wenyewe NO!

Status
Not open for further replies.

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Imekuwa kawaida kwa CDM kutimua yeyote mwenye mwenendo tofauti na Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu, Dr. Slaa. Jambo lililo wazi ni kwamba haijawahi tokea Mchaga kufukuzwa ama kusimamshwa katika uongozi.
  • Je wachaga ni waadilifu ndani ya chama?
  • Kwa nini nje ya wachaga huundiwa kesi ama wachaga hawana makosa
  • Uhusiano wa Mbowe na Mtei unatia doa
 
Hivi ni kwa nini CCM mnalia na kujigalagaza wakati msiba ni wa CDM? Kuna nini nyuma ya pazia?
 
Ya CDM yanakuhusu nini we gamba? Ndo umetoka hivyo. Usiporidhika chukua kamba ujinyonge!
 
kila mtu hakioji kitu mnamuita gamba. ebu jibuni vizuri acheni ubabe.
na wasiwasi na hivi vyama pinzani sitokuwa na chama chochote wote amueleweki tu
 
Imekuwa kawaida kwa CDM kutimua yeyote mwenye mwenendo tofauti na Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu, Dr. Slaa. Jambo lililo wazi ni kwamba haijawahi tokea Mchaga kufukuzwa ama kusimamshwa katika uongozi.
  • Je wachaga ni waadilifu ndani ya chama?
  • Kwa nini nje ya wachaga huundiwa kesi ama wachaga hawana makosa
  • Uhusiano wa Mbowe na Mtei unatia doa

Bora Chadema inatatimuwa waliti. CCM inakumbatia Mafisadi, Wauza unga WabakakajiBora Chadema inatatimuwa waliti. CCM inakumbatia

Mafisadi,
Wauza unga
Wabakakaji
Wasambaza Ukimwi
Maghaidi
Wazinzi kama Mwigulu
Walawiti wa watoto kama Captain Komba
Wan'goa kucha
Wasambaza Ukimwi Maghaidi
Wazandiki
Wanafiki

Wazinzi kama Mwigulu Walawiti wa watoto kama Captain Komba
 
Chezea magamba wewe. Watakukapuya (kukuambukiza ngoma). Au kukumwigulu (kukunyoa kucha na meno).
 
Imekuwa kawaida kwa CDM kutimua yeyote mwenye mwenendo tofauti na Mwenyekiti Mbowe na Katibu Mkuu, Dr. Slaa. Jambo lililo wazi ni kwamba haijawahi tokea Mchaga kufukuzwa ama kusimamshwa katika uongozi.
  • Je wachaga ni waadilifu ndani ya chama?
  • Kwa nini nje ya wachaga huundiwa kesi ama wachaga hawana makosa
  • Uhusiano wa Mbowe na Mtei unatia doa

Nasikia kasauati ka kukata tamaa..itawachukua mwezi kuweza andika kitu chenye kueleweka hata kidogo.Kwa sasa mpo shocked mkiomba mungu imaginary BRAND ZITTO ifurukute ili ionekane kuwa si brand kihivyo ndio maana ipo busy kujenga umaarufu kw akuizunguka CDM.Km ile story ya majinn kuzunguka maeneo ya mbinu ili kila siri waisikiayo kwa mbalia wawahi kuja wapiga kamba wanadamu.

Zitto kwa mud amrefu atakuwa mtu hizo habari.
 
kwani nani kawatimua? mmeshaambiwa wamekiri makosa yao na wakaomba kujiuzulu
lakini chama kwa uadilifu kikawanyangaya nyadhifa zao ili wasijiuzulu kifua mbele wakati ni virus
nadhani mnapaswa kuwasifu chadema kwa uthubutu wao
sasa kama mchaga hajafanya kosa atimuliwe kwa vile mchaga??
hivi nani kawaloga hata kufikiria jambo kama hili linawashinda?.
tanzania kupata maendeleo ni ndoto kama vichwa vyenyewe ndio hivi.
mnawaza ukabila mnataka kutambika?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom