sungura1980
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,909
- 1,225
Yah,huwezi ukuwa unaharaka kiasi hicho mtu hata asishituke bado haujkubaliwa unaanza kuomba promise ya kutaka kula,umekubaliwa unaanza kutafuta chumba wakat hata train halijachanganya mwendo hata ungekuwa ww ndo mwanamke ungeshituka
alichozungumzia yeye ni.ndoa ndio malengo, sasa kama misingi ya mahusiano ni mawasiliano mazuri na hayapo hiyo ndoa itatoka wapi!!!!Unaweza kuwa sahihi au na unaweza kutokuwa sahihi!Uko sahihi kwa sababu wewe ndo mwenye maamuzi na mwili wako!Unaweza husiwe sahihi kwa sababu hujatwambia nia ya mahusiano yenu ilikuwa ni nini?Alipokutongoza kwenye hiyo second date ukamkubalia alisema anahitaji nini?Wapo wanaume wako straight kabisa toka day 1 anataka yeye mgegedo,kama ulikubali na umeendelea kumzingua eti sijui yupo after sex umekosea,hujijui,ndiyo yuko after sex sababu ndo alichokuomba alipokutongoza na wewe ukamkubalia!Wewe ndo mwenye tatizo,toka siku ya 1 mnapotongozwa anapokwambia amekupenda anaomba mgegedo,kataa,sio baadaye uanze kumzungusha.
Heri ya mwaka mpya wanajamvi!!!!!
Mwenzenu nilikuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja hivi, nilichoexperience ndio utata mtupu!!!!!!!
From the second date hata sijasema ndio, anawaza tu when are we going to sex!!!!
Nikaona duh!!! Sijui itakuwaje coz mi Nataka nimsome kwanza nimuelewe kabla ya mambo mengine.
Then came the third date hapo nimeshakubali, baby can i pay for a room!!!!"haaaa!!!!!!! hapana its too soon hata mwezi haujaisha!!!!
Kilichofuata tukawa hatuwasiliani for a week,solutions aliponitafuta tu anauliza when are we going to do it!!!!! Mh nikamzingua ,mawasiliano yakawa yakusuasua sana ila nikawa nimeshamsoma yuko selfish mno.
Katika kipindi hicho sijawahi kutaka chochote kutoka kwake in terms of cash mwisho nikaona what am i waiting for,mapenzi siyaoni kisa nimegoma kutanguliza sex.
Nikamwacha tu aende atakutana na wanaotaka pesa in exchange for sex hatakama mapenzi hayapo.
Mtizamo wenu ukoje great thinkers!!!! Nilikuwa sahihi kuona he was only after sex!!!!!!!
Unambania nani wakati huwa unagawa tu kwa wengine
i couldn't do it just because he was honesty, ha!!! We unaweza kubali kuchunwa just because mdada yuko honest kuwa kafwata pesa!!!!!!wewe nae ndio umekosea kabisa...this guy was honest about wat he wants....now u want to have a guy that pretends that he loves u and in the end he just f.ucks u and leaves u for dead....sasa next tym a guy u have feelings for asks for sex and he is open about his intetions just give it to him. atleast he is honest
unaanzaje kumvulia mtu hata hujamzoea raha ya mapenzi mzoeane kwanza ukiwa unalala na kila mmoja siku ya kwanza mnakutana si itakuwa balaaHaukuwa sahihi kumbania jamaa kwa sababu hata kama angekaa kwa miezi 9 bila kuomba sex, bado mwisho wa siku mgefanya tu hakuna ajenda nyingine ya mwanaume kumfuata mwanamke zaidi ya kumvua bi***n, ungempa tu mwenzio alikuwa kesha zidiwa. Na ili kujua kama yalikuwepo mapenzi lazima umpe ndo unajua kuna mapenzi, we hauwezi tu kuhoji kama yalikuwepo wakati haujampa mkayafanya hayo mapenzi. Sijajua wewe ulikuwa unataka mapenzi tu au ulikuwa unataka mapenzo ya kweli, ebu niweke sawa hapa sijaelewa vizuri.
i couldn't do it just because he was honesty, ha!!! We unaweza kubali kuchunwa just because mdada yuko honest kuwa kafwata pesa!!!!!!
how far are you sure Afrique is deflowered!!!!!!ofcoz why not? i appreciate honesty ile mbaya. the worst thing a person can do is play with my emotions. so kama anasema bwana papuchi yangu ni 1 million well then am down for that as long as najua hapa hamna future.
secondly no man and i mean no man atapata papuchi bila kuchunwa...be it airtime, dinner dates and gifts....so to me she is strait as an arrow nd i appreciate that.
sasa wewe wataka mie ni exercise patience kwako wakati unakuta demu mwenyewe nsio bikra clearly she herself failed to exercise patience...u gota be crazy!!! make me wait for a used pu.ssy sii unanga huo
how far are you sure Afrique is deflowered!!!!!!
Heri ya mwaka mpya wanajamvi!!!!!
Mwenzenu nilikuwa kwenye mahusiano na mwanaume mmoja hivi, nilichoexperience ndio utata mtupu!!!!!!!
From the second date hata sijasema ndio, anawaza tu when are we going to sex!!!!
Nikaona duh!!! Sijui itakuwaje coz mi Nataka nimsome kwanza nimuelewe kabla ya mambo mengine.
Then came the third date hapo nimeshakubali, baby can i pay for a room!!!!"haaaa!!!!!!! hapana its too soon hata mwezi haujaisha!!!!
Kilichofuata tukawa hatuwasiliani for a week,solutions aliponitafuta tu anauliza when are we going to do it!!!!! Mh nikamzingua ,mawasiliano yakawa yakusuasua sana ila nikawa nimeshamsoma yuko selfish mno.
Katika kipindi hicho sijawahi kutaka chochote kutoka kwake in terms of cash mwisho nikaona what am i waiting for,mapenzi siyaoni kisa nimegoma kutanguliza sex.
Nikamwacha tu aende atakutana na wanaotaka pesa in exchange for sex hatakama mapenzi hayapo.
Mtizamo wenu ukoje great thinkers!!!! Nilikuwa sahihi kuona he was only after sex!!!!!!!