Hapa panahitaji elimu ya kidoctor, niko confused sana

Ph-25

JF-Expert Member
Nov 19, 2012
1,159
540
kuna ndugu yangu ana ukimwi tena sio nasikia yani najua na vipimo vyake vyote navijua.

alianza kutumia dawa tangu nikiwa form1 mpaka saizi.

kaja huku kijinini kaanza kugawa utamu ovyo kwa washikaji, mpaka kapata mimba kajifungua, sijui hali ya mtoto kwa sasa ila hapo ndio napochanganyikiwa sasa.

jamaa alie kua anatembea nae kapima zaidi ya mala tatu, hajakutwa na maambukizi mpaka sasa yapata mwaka mzima.

kuna mzee anaugua ukimwi kwa miaka mingi sana, nae anatumia dawa,yeye anawake wawili, mmoja huyu mkubwa kapima mala sita na kila mwaka na miezi anapimwa hakutwi na maambukizi,

kuna jamaa yangu ameathirika miaka kama mi3 iliyo isha, nae anatumia dawa, mkewe inasemekana nae ni mgonjwa japo sija confirm, ila michepuko yote ya jamaa haina ngoma, huyo mchepuko wake mmoja naujua na umepima mala nne lakini hauna hata maralia sasa nabaki najiuliza maswali wala sipati jibu.

je vipimo haviko sawa au wapimaji hawajui kazi yao vyema.?

nikaenda kwa dr. na kusoma online kuhusu hilo swala. nikapata majibu yafatayo.

mtu anae tumia dawa za arvs hanauwezo w a kuambukiza mwingine kwa asilimia kubwa, yani anaweza kumuambukiza mtu kwa asilimia 6% tu, na kuto muambikiza kwa 94%.

wakati utumizi wa condom unaweza kukusaidia usiambukizwe kwa 76% tu.

ila binafsi naona kama majibu haya hayatoshi kwangu, ndio maana nikaona labda tushee na nyie kidogo labda mnaweza nipa japo kaneno kidogo kuhusu ilo. mana niko confused sana.
 
We unazuga tu,mzigo umekula mwenyewe unajistukia.KAPIME
siwezi kushangaa sana, mana mimi humu ni mkongwe sana, na ninajua kuna vichaa humu ndani sampuli kama wewe, wanao amini mambo juu juu tu bila kuchambua wala kufikiri.
 
Mjomba hao jamaa unaosema wamepima na hawajaathirika wote walikuonyesha vyeti??.. yaani wamepima zaidi ya mara tatu na matokeo ya vipimo unavyo!!..hebu tuambie mbinu unayotumia kupata majibu yao maana majibu ya vipimo vya mtu ni very sensitive
 
Mjomba hao jamaa unaosema wamepima na hawajaathirika wote walikuonyesha vyeti??.. yaani wamepima zaidi ya mara tatu na matokeo ya vipimo unavyo!!..hebu tuambie mbinu unayotumia kupata majibu yao maana majibu ya vipimo vya mtu ni very sensitive
ni ndugu zangu wa karibu sana, hakuna mbinu nyingine ktk hilo. na wengine wamezaa na watoto nimewapeleka mimi kupima hiv, ili kama wamezaliwa nao waanze dose, majibu nimepewa kua hawana kitu.
 
kuna ndugu yangu ana ukimwi tena sio nasikia yani najua na vipimo vyake vyote navijua.

alianza kutumia dawa tangu nikiwa form1 mpaka saizi.

kaja huku kijinini kaanza kugawa utamu ovyo kwa washikaji, mpaka kapata mimba kajifungua, sijui hali ya mtoto kwa sasa ila hapo ndio napochanganyikiwa sasa.

jamaa alie kua anatembea nae kapima zaidi ya mala tatu, hajakutwa na maambukizi mpaka sasa yapata mwaka mzima.

kuna mzee anaugua ukimwi kwa miaka mingi sana, nae anatumia dawa,yeye anawake wawili, mmoja huyu mkubwa kapima mala sita na kila mwaka na miezi anapimwa hakutwi na maambukizi,

kuna jamaa yangu ameathirika miaka kama mi3 iliyo isha, nae anatumia dawa, mkewe inasemekana nae ni mgonjwa japo sija confirm, ila michepuko yote ya jamaa haina ngoma, huyo mchepuko wake mmoja naujua na umepima mala nne lakini hauna hata maralia sasa nabaki najiuliza maswali wala sipati jibu.

je vipimo haviko sawa au wapimaji hawajui kazi yao vyema.?

nikaenda kwa dr. na kusoma online kuhusu hilo swala. nikapata majibu yafatayo.

mtu anae tumia dawa za arvs hanauwezo w a kuambukiza mwingine kwa asilimia kubwa, yani anaweza kumuambukiza mtu kwa asilimia 6% tu, na kuto muambikiza kwa 94%.

wakati utumizi wa condom unaweza kukusaidia usiambukizwe kwa 76% tu.

ila binafsi naona kama majibu haya hayatoshi kwangu, ndio maana nikaona labda tushee na nyie kidogo labda mnaweza nipa japo kaneno kidogo kuhusu ilo. mana niko confused sana.
mkuu hiyo inawezekana kwa mtu ambaye anatumia ARVs coz ukitumia ARVs kwa muda mrefu inapunguza uzalianaji wa virus kwa kiasi kikubwa. Mtu akiwa na viral load ndogo hata chance ya kuambukiza inapungua sana..pia wanaposhirikiana na hao wenzi kama wanafanya maandalizi ya kutosha inapunguza msuguano na hivyo kuzidi kupunguza uwezekano wa kupata maambukizi..kingine huwa tunashauri kwa wagonjwa wa HIV pia wawe wanatumia condom kila wanapojamiiana..ukoconsider hizo facts inawezekna kbsa hao wenza waspate maambukizi
 
Back
Top Bottom