Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
hii itakuwa bukoba mkoani kagera
Aisee, pazuri sana.hii itakuwa bukoba mkoani kagera
Pazuri sana hapo, wewe mwenyeji wa huko?Ni mbeya hapo. Panaitwa "Kesiba"
Hata mie nilitaka kusema Bukoba ila hii miti sasa ndo imenichanganyahii itakuwa bukoba mkoani kagera
hapo ni porini karibu na bahari
Mwanga nakujua vyema, hakuwezi kuwa na afya kama haya mazingira.Wilaya ya Mwanga, mkoa wa Kilimanjaro