Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,446
'UTALII WA NDANI': Hapa ni nyumbani kwa Nuru Lugina, almaarufu ‘Mzee wa Mapangoni.
Kwa miaka kadhaaa, Lugina na familia yake wamekuwa wakiishi kwenye pango hili linalokadiriwa kuwa na urefu wa zaidi ya mita 15.
Pango hili linalopatikana kijiji cha Igange, Manispaa ya Tabora, lina vyumba vinne na sebule.
Lugina hutumia umeme wa solar kutazama runinga na kupata mwanga.