J JATELO1 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2011 Posts 1,230 Reaction score 304 Jan 31, 2012 #61 Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana.
Asnam JF-Expert Member Joined Jan 18, 2012 Posts 4,256 Reaction score 2,949 Jan 31, 2012 #62 nitampeleka chuo cha bwagamoyo ajifunze zaid ya hicho
Masanilo Platinum Member Joined Oct 2, 2007 Posts 22,283 Reaction score 4,553 Jan 31, 2012 Thread starter #63 TELO said: Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana. Click to expand... Kwa kweli inauma sana!
TELO said: Yaani uki-imagine tu kwamba mwanao mwenye miaka 12 jamaa tayari wanampigisha pushapu! Inauma sana. Click to expand... Kwa kweli inauma sana!
Michael Amon JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 8,769 Reaction score 3,644 Jan 31, 2012 #64 Aisee kama huyo ni mwanangu atakula viboko hadi ashindwe kukaa