Hapa ndipo wanawake wengi tunapofeli

Mapenzi yatatuua jamani, wanawake wanawaliza sana wanaume wenzangu, haha
 
Nai Nai babhuji sapne dhekai🤔is it Indian movie? Or
 
Unaweza kuwa ushauri mzuri kwa wanawake ambao wana akili na wako kwenye ndoa saa hii
 
Kitu ambacho wanawake wengi hawajui ni kwamba, mwanaume unaweza kumuibia pesa nyingi tu, ukamuharibia vitu vyake vya thamani e.t.c , lakini mwanamke asijaribu wala kudhubutu kutembea na mme mwingine tena mpaka mimba na akagundua, kusamahewa na ngumu sana, mwanaume akishaingiliwa kwenye himaya yake namna hiyo, msamaha ni mgumu sana kwake kutoa. Namshauri huyo mwanamke ampe huyo jamaa muda wa
yeye kuondoka hapo na kurudi kwao kwanza.
 
Sio poa jamaa alivyomtia stress mama kijacho hadi mtoto asie na hatia akafa. Angemuhudumia tu kisha baada ya mke kujifungua angemalizana nae kistaarabu.Mbona na Yeye alichepuka au kwa kuwa wanaume hatushiki mimba.Cha kufanya hapo ni kusameheana Kwa kuwa wote wana nakosa ila chanzo ni huyo jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…