SureKama ingekuwa ndoa ni comitment , kila mtu akishaingia basi ajue wajibu wake ..Pande zote wakiheshimu basi haitovunjika hata siku moja..Ila watu hawaheshimu ndoa , mtu bado ana michepuko ya nje ana hata wasiwasi .
Ndoa ilitakiwa maagano ya kweli , mtu ajifunge kifungo kabisa akileta ujinga apate madhara ya kuonekana ..Hapo watu wangeheshimu ndoa .
Mbona watu wanaheshimu kazi ,mtu hajawhai kuvunja maadili ya kqzi hata kiaka 35 ..Iweje ndoa na taratibu kila mtu anapewa ..Sure
Yaani atiwe mimba na mwanaume mwingine halafu aendelee kuwa mke wangu??Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?
Sad...kote kumechangamkaMbona watu wanaheshimu kazi ,mtu hajawhai kuvunja maadili ya kqzi hata kiaka 35 ..Iweje ndoa na taratibu kila mtu anapewa ..
Hata mtu akiwa malaya ila akiwacomitted na ndoa itadumu ,lazima ajitambue ....Watu wa sasa hwaheshimu ndoa kabisa ... Wanaume tunajipa uhalali wakucheat kama mazombie vile ,watu hawajielewi kabisa ..Mke naye akiamua analipiza hapo ni mtihani.
Kweli ,kamq tubavyojizuia kunywa pombe ,na vingine basi hata kucheat tujizuie kutokana tayari tuko ndani ya ndoa...Tena tuchukie kabisa kama waislamu tunasivyokula kitimoto.Shida wengi hatuwezi kukubali makosa yetu na kujihesabia haki kwenye ndoa.
Ukishajiheshabia haki basi mko mashakani.
Utacheat kisha unaona ni Sawa tuu, hapo umejihesabia haki naye akijua umecheat anaona alipize kwa kucheat.
Madhara yake ni makubwa, mnajihesabia haki kwa gharama za watoto wenu, mimi ni shuhuda wa hizi mambo aisee usipojotoa watoto wanapata tabu kichwani.
Kweli ,kamq tubavyojizuia kunywa pombe ,na vingine basi hata kucheat tujizuie kutokana tayari tuko ndani ya ndoa...Tena tuchukie kabisa kama waislamu tunasivyokula kitimoto.
Kiufupi ukijipa haki na kuhalalisha makosabasi ushaharibu.
Mi nafikiri wajibu ndio suluhisho la majanga ya ndoa. Kila mtu awajibike kwa nafasi yake.Shida wengi hatuwezi kukubali makosa yetu na kujihesabia haki kwenye ndoa.
Ukishajiheshabia haki basi mko mashakani.
Utacheat kisha unaona ni Sawa tuu, hapo umejihesabia haki naye akijua umecheat anaona alipize kwa kucheat.
Madhara yake ni makubwa, mnajihesabia haki kwa gharama za watoto wenu, mimi ni shuhuda wa hizi mambo aisee usipojitoa watoto wanapata tabu kichwani.
Utataka uoe tena, vita inaanza kati ya watoto na mama mpya,
utataka uolewe tena vita inaanza kati ya watoto na babà Mpya.
Hawa watoto watarushwa rushwa mnoo,utaona boarding ni suluhisho aisee boarding hailei watoto
Mungu tu atusaidie
Mwanamume hakutaki tena .... Unajilazimishia nini hapo?? Unataka nini zaidi wakati hakuna mawasiliano, hakuna mapenzi tena?Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?
Kila mtu aishi kivyake. Once a women cheat always a hoeMwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?
💪 Salute mwenyekitiHapo mwanaume hana anachotakiwa kufikiria mara 2. Aendelee na uamuzi ambao tayar alishauchukua toka alipogundua tatizo. Kwakifupi jamaa bado yuko vizuri ashikilie hapo hapo. No drama, no vikao, ataondoka mwenyewe tu huyo mama. snowhite anaweza kuwa na la ziada hapa
Agiza bia ntalipa
mwanamke mjinga ataivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe ndiyo hiyo sasa my lady 🐒Mwanamke Kama mwanamke uliyeolewa na mwanaume wako akakuheshimisha tulia visasi havisaidii badala yake vinabomoa
Angalia hapa: Mwanamke unaamua kulipa kisasi kwa mumeo kwa kucheat kwa sababu na yeye alikucheat
Unaamua kumnyima mumeo unyumba kwa hasira zako unazozijua kwa bahati mbaya unapata ujauzito na bahati mbaya mmeo anagundua kuwa huenda una ujauzito na anajifanya kupotezea
Unaomba ushauri kwa mashost ,wanakushauri fanya kila linalowezekana umpe mmeo tendo kisha utamwambia ujauzito ni wako
Kwa kuwa mwanaume alishagundua kila kitu anakataa na unaanzisha ugomvi kuwa mmeo anakunyima tendo la ndoa
Unaamua kwenda dawati kushtaki, mwanaume anaweka msimamo kuwa kwa sasa hana hisia,anatatizo la nguvu za kiume,mkeo akusubiria kwa wakati huo yupo kwenye matibabu
Hatimaye ujauzito unakuwa mkubwa mwanaume anaamua kuhoji kulikoni? Mwanamke anajitetea kuwa wew mwanaume ndiyo chanzo aliamua kulipa kisasi baada ya kumcheat
Mwanaume anaamua kuwambia ndugu zake na ndugu wa mwanamke,ushauri unatoka kuwa amsamehe walee watoto, mwanaume na huyo mwanamke wamezaa watoto wawili
Jamaa anaamua kuchukua watoto wake anawapeleka shule ya bweni wanabaki wawili nyumbani
Jamaa anaamua kususa kutoa matumizi na ujauzito tarehe zinakaribia za kujifungua,mwanamke hana namna anaona acha avumilie ajifungue mtoto kwa sababu hana sehemu ya kwenda
Kwa bahati mbaya mwanamke anapata shida ya uzazi anaanza bleeding anampigia mwanaume simu na kumwambia aje ampeleke hospital jamaa anakata simu
Mwanamke anajiongeza anamuita jirani,na jirani anatafuta usafiri na kumpeleka hospital ila kwa bahati mbaya anafanyiwa operation na kwa bahati mbaya mtoto alishafariki dunia
Mwanaume anaambiwa gharama za matibabu anasema hahusiki,ndugu na jamaa wanachangisha wanapata hela inayotakiwa wanalipa bill anaruhusiwa kutoka hospital na anaamua kwenda kwao kwa wazazi
Mwanamke anapata ushauri wa kumkamata kwa kumtishia kumuua kwamba hata kile kitoto kufia tumboni ni kipigo cha mwanaume, mwanaume anakamatwa na polisi analala lock up siku ya kwanza anadhaminiwa anatoka baadae polisi wanafuta kesi kwa sababu ushahidi hautoshi kumpeleka mahakamani
Mwanamke anaomba talaka na jamaa anakubali,wakati shauri la talaka linaendelea ghafla mwanamke anakataa shauri la talaka lisiendelee
Anaamua kuita ndugu wa mwanaume na wa kwao anaomba mwanaume msamaha anaomba arudi kwenye ndoa yake yeye process za talaka ameziacha labda mwanaume afungua shauri la talaka,anataka alee watoto wake
Nini kifanyike hapa?