maroon7 JF-Expert Member Nov 3, 2010 11,144 15,145 May 26, 2014 #2 Wenzetu wako mbali...sisi tupo karibu , tumeshindwa
skidemount JF-Expert Member Mar 26, 2014 323 86 May 26, 2014 #3 Mkuu kufikia hapo mpaka yesu atakapo rudi
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 May 26, 2014 Thread starter #4 skidemount said: Mkuu kufikia hapo mpaka yesu atakapo rudi Click to expand... Mkuu tutafika tu!
skidemount JF-Expert Member Mar 26, 2014 323 86 May 26, 2014 #5 Eiyer said: Mkuu tutafika tu! Click to expand... Kaka mi siamin kabisa.coz hatuna mikakat endelevu ya kufanya hayo.umeme wenyewe umekua wakuunga unga na majengo hayo kila kitu umeme hapo.
Eiyer said: Mkuu tutafika tu! Click to expand... Kaka mi siamin kabisa.coz hatuna mikakat endelevu ya kufanya hayo.umeme wenyewe umekua wakuunga unga na majengo hayo kila kitu umeme hapo.
Eiyer JF-Expert Member Apr 17, 2011 28,258 20,712 May 26, 2014 Thread starter #6 skidemount said: Kaka mi siamin kabisa.coz hatuna mikakat endelevu ya kufanya hayo.umeme wenyewe umekua wakuunga unga na majengo hayo kila kitu umeme hapo. Click to expand... Bila kuyaondoa madarakani haya majamaa tutabaki hapa hapa!
skidemount said: Kaka mi siamin kabisa.coz hatuna mikakat endelevu ya kufanya hayo.umeme wenyewe umekua wakuunga unga na majengo hayo kila kitu umeme hapo. Click to expand... Bila kuyaondoa madarakani haya majamaa tutabaki hapa hapa!
skidemount JF-Expert Member Mar 26, 2014 323 86 May 26, 2014 #7 Eiyer said: Bila kuyaondoa madarakani haya majamaa tutabaki hapa hapa! Click to expand... Yas apo umesema mkuu.kabisa kabisa.kila kitu hovyo.but mi wakat mwingine nahis ss tumelaaniwa au nn., we have a lot of resources but why were still poorest people in da world.
Eiyer said: Bila kuyaondoa madarakani haya majamaa tutabaki hapa hapa! Click to expand... Yas apo umesema mkuu.kabisa kabisa.kila kitu hovyo.but mi wakat mwingine nahis ss tumelaaniwa au nn., we have a lot of resources but why were still poorest people in da world.
Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,995 775 May 26, 2014 #8 Eiyer said: Click to expand... Hongera sana kijijini kwenu kama pako hivyo, makao makuu ya wilaya yenu pakoje?
Eiyer said: Click to expand... Hongera sana kijijini kwenu kama pako hivyo, makao makuu ya wilaya yenu pakoje?
kadakokigondile JF-Expert Member May 17, 2013 1,872 634 May 26, 2014 #9 Eiyer said: Click to expand... Kijiji hiki nakifananisha na Ngarenaro
Red Scorpion JF-Expert Member Feb 1, 2012 5,736 4,252 May 28, 2014 #10 skidemount said: Mkuu kufikia hapo mpaka yesu atakapo rudi Click to expand... Afu aondoke, arudi tena X ya 3 labda!
skidemount said: Mkuu kufikia hapo mpaka yesu atakapo rudi Click to expand... Afu aondoke, arudi tena X ya 3 labda!