Hapa mkuu Lifecode alikuwa anamaanisha nini?

Ushirikina ni nini? Nani alianzisha ushirikina? Kwa manufaa gani aliuanzisha? Unaweza kuthibitisha ushirikina ukoje kwa kuutenganisha na nadharia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikuanzie mbali kidogo, kisha nijibu maswali yako kwa kuweka msingi huu wazi.

Unakubali dunia imeumbwa au imejiumba ? Swali hili lina maana, naelekea kujibu swali maswali yako. Usiwe na haraka.
 
Habari zetu wana JF,

Naomba mnisaidie kudadavua au kutolea maelezo kidogo au kwa upana kuhusu hiyo short notes ya mkuu lifecode nimejaribu kuchokoza mara kwa mara lakin holaa. Natanguliza shukuran. Trained bender

(Lifecode)
Language that the universe speaks is through symbols asigned into numbers.

Yale mapembe, sanamu, misalaba zinaitwa Obelisk na zinafanya au kuifanya subconcious awareness yako kusynchronize with the universal energy grid (high energy flow system) ambayo ndiyo kila kitu.

The gateways to high centers zilifichwa katika fibonacci sequence, Golden ratio, phi(pai), Newtonian Calculus pamoja na sacred geometry.

Kule shule ya msingi tunafundishwa maumbo lakini hawayatolei ufafanuzi, yakitolewa ufafanuzi mbona kila mtu atakuwa genius wa kutupa na umaskini hautakuwepo.

Kuna code tata sana kwenye hayo maumbo mkuu..ni noma..narudia tena ni noma acha kabsaa. Nikola Tesla walimua kwa sababu alitaka auambie ulimwengu kuwa there is a core where all knowledge and power rest and we have to synchronize with the universal patterns to unlock the reality and truth.

Hatare sana. Wenye dunia hii hawataki kuweka mambo sawa..wanatuendesha tu kama magari mabovu.

Unajua kwanini walileta system ya kuweka misalaba kwenye makaburi ya watu waliokufa(fariki)?

unahisi ni representation ya Yesu Kristo?

Sio kweli...

When human being dies, his soul is used to open the highway gate way to higher world where knowlege rests.

Unajua kwanini Vatcan ilikua na sera ya kuwakusanya watu wote waliokufa sehemu moja halafu misalaba iwe imesimikwa kwa kusimama? Do you know its indications?

Unajua kwanini?
It is called hallucinations

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikweli,unajua kama ni mtu wakufatilia mambo mbali mbali ktk hii dunia una weza ukashangaa sna,na unaweza ukasema kitu/vitu ulivyo soma na kwa uhalisia watu wasikuelewe.kuna watu wanavitu mpaka unajiuliza ni hii hii dunia au laa.ukiona mtu anatoa elimu juu ya jambo frani fatilia kwa akili yako ulinganishe na uhalisia utapata kitu/vitu na utakuwa umeelimika pia,big up kwa jicho lililo ng'amua hilo
Kuna mambo mengi sana hapa duniani yana changanya sana...



Cc: mahondaw

Sent from my itel it1408 using JamiiForums mobile app
 
elimu dunia ndo hii!
Screenshot_2020-03-21-12-35-31.jpg
Screenshot_2020-03-21-12-29-22.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom