babumapunda
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 4,644
- 3,326
Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal
amesema serikali itahakikisha hadi
kufikia mwaka 2015 kila mkoa
utakuwa na uwanja wa ndege wa
kisasa....hahahaha naona
MWANASIASA anafanya kazi yake
hapa. Come on Dokta, imechukua
zaidi ya miaka 10 kwa Airport ya
Mbeya kukamilika....
amesema serikali itahakikisha hadi
kufikia mwaka 2015 kila mkoa
utakuwa na uwanja wa ndege wa
kisasa....hahahaha naona
MWANASIASA anafanya kazi yake
hapa. Come on Dokta, imechukua
zaidi ya miaka 10 kwa Airport ya
Mbeya kukamilika....