Hapa Lowassa hatoki...


kwa nini wewe na mashabiki wenzako hamkuingia mtaani kupinga matokeo mkawaacha mbowe na slaa peke yao kulalamika? nakumbuka hata zitto na viongozi wengine wa cdm hawakuona umuhimu wa kumkataa JK kwa sababu hawakuamini kama slaa alipata kura zaidi ya mil 4.5 kati ya zile mil 8 zilizopigwa. Nikuelimishe zaidi kaka, uchaguzi wa kimabadiliko uonekana toka mwanzo kwa kujitokeza kwa wapiga kura wapya wengi na upigaji kura uwa mkubwa (hapa ujue mabadiliko utokea) ila kwa number za 2010 ingekua miujiza kwa Slaa kushinda na numbers kama zile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…