Eeeh Mungu naomba Meseji zote zijifute kwenye in box na kwenye sent item
Eeeh Mungu naomba Meseji zote zijifute kwenye in box na kwenye sent item
Eeeh Mungu naomba Meseji zote zijifute kwenye in box na kwenye sent item
Kama message zipo kwa hand set?dawa hapo ni kukachomoa hako ka-SIM card na kukameza faster kuua ushahidi
Kama message zipo kwa hand set?
iliwahi nitokeaga mkuu tangu siku hiyo simu yangu haikosi password.
Duh ilikuwa kasheshe lakini kitu nilikuja kugundua saa nyingine inaongeza mapenzi maana kama wewe ni mwanamke na unachit mwanamke anataka kujua huko nje unapata nini na yeye akufanyie duh mzee nilikuja kupewa kitu sijawahi pewa ili tu nisitoke nje baada ya ugomvi mkubwa sana. chakuchekesha sasa yaani wanaume tu watu wa ajabiu sana yaani hata ukikamatwa uko juu ya kifua mzee unaweza sima uongo na mwanamke akaamini eti wewe umekamatwa uko juu ya kifua unamwambia mwanamkwe sio wewe unasingiziwa tu na yeye anakusamehe au unamwambia ni shetani tu alikupia
usimwage basi kuku kwenye mchele mwingi na usiwe unapenda kutoa siri za nyumbani nje. utakuja kuiharibu ndoa yako bureMkuu, kwenye red;kitu gani? FUNGUKA.
Mkuu, kwenye red;kitu gani? FUNGUKA.
Eeeh Mungu naomba Meseji zote zijifute kwenye in box na kwenye sent item
HII TABIA YA WANAWAKE KUCHUNGUZA SIMU ZA WAUME ZAO NI MBAYA SANA. INALETA UGONVI USIO KUWA NA MAANA HATA KIDOGO. Kufuatana na uzi huu njia salama ni kuweka password kwenye simu, tafadhalini hebu nielewesheni jinsi ya kuweka password kwenye simu!!
Kama hauna chochote kibaya na mnaaminiana,, wala hatakuwa na muda wa kuangalia simu yako. Tatizo wanaume wengi vicheche
Ndoa ndoano!