Hapa kuna ukweli wowote? Tusaidiane tafadhali!

Mi mtu wa February ila sidhan kama ni beautiful katika maisha....au sijaelewa inamaanisha nini
 
31/12

shughuli yangu wanaijua mtaani kwetu
nahisi kuna ka ukweli kuhusu mwezi wangu wa kuzaliwa
 
Mtoa mada hili halina ukwel wowote...ni takwimu iliyotolewa bila research yeyote ni m2 kakaa 2 na kuandika
 
Akuna ukweli katika hilo mkuu,mi nimiongoni nilio zaliwa ndani ya Oct/15.rakini cjawa kupenda wala kupendwa.na hata nikiwa na rafiki wa atuelewani kabisa,tens namashaka na tabia hii cjui kama nitakuja KUOA.mana wanawake PASUA KICHWA.
 
mwezi wangu kuna ukweli . kwa mwezi wa March umeelezea sifa zao vyema ila kwenye mahusiano ni wagumu kucommit ni raha kuwa nao kama marafiki tu wana natural charm.
 
Oyoooooo February

Michael Jordan born on Feb
Rihanna born on Feb
Cr7 born on Feb.
Goldie born on Feb....
 
mwezi wangu kuna ukweli . kwa mwezi wa March umeelezea sifa zao vyema ila kwenye mahusiano ni wagumu kucommit ni raha kuwa nao kama marafiki tu wana natural charm.

Naona Mkuu umeamua bila uwoga wala aibu ' Kutuchana ' tuliozaliwa mwezi ' March ' haswa. Haya bhana!!!!!!!
 
August nimetishaaaaa

Halafu kuna kitu kingine nilisahau wa waliozaliwa huo mwezi wa Nane ( 8 ) August kwamba pia wana ' Roho Mbaya ' sana, Wauwaji na Wakatili. Ni hayo tu Mkuu na hongera kwa Kuzaliwa mwezi August.
 
Halafu kuna kitu kingine nilisahau wa waliozaliwa huo mwezi wa Nane ( 8 ) August kwamba pia wana ' Roho Mbaya ' sana, Wauwaji na Wakatili. Ni hayo tu Mkuu na hongera kwa Kuzaliwa mwezi August.
Wala hujakoseaa kuna kipindi huwa nataman kumuua x wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…