McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Kwa picha hizi mwaka hakuna Uchaguzi kabisa yaani ni maigizo tu.
Mgombea wa urais kupitia Chama cha ADC, Wilson Elias akinadi sera zake katika mkutano wa chama hicho uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 27, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Peckars jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Matemanga
Kwa picha hizi mwaka hakuna Uchaguzi kabisa yaani ni maigizo tu.
Mgombea wa urais kupitia Chama cha ADC, Wilson Elias akinadi sera zake katika mkutano wa chama hicho uliofanyika leo Jumamosi, Septemba 27, 2025 katika viwanja vya Tanganyika Peckars jijini Dar es Salaam. Picha na Michael Matemanga