Hapa kipanya sijamwelewa kabisa

Wa kusoma

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
3,454
2,975
Wadau wa lugha za picha hapa Kipanya kamaanisha nini?

fbce5c70eb028969feb7860bf8a01e69.jpg
 
Wote Hao ni wazee maanake wamechoka.. Kwa LUGHA nyepesi veta ifanyiwe mabadiliko hasa kwenye slybuss inazofundisha ijikite kwenye mafunzo hasa ya tanzania inayokuja ya viwanda
 
SIDO - Bashite. VETA - Bashite ......lengo la hizo institutions ilikuwa kutoa mafundi mchundo wa kubuni viwanda hasa SIDO ilikuwa ibuni viwanda vidogo vidogo ambavyo vingelikua na kuwa viwanda vikubwa... ikaishia Bashite. Veta ilikuwa ya kutoa vijana wabunifu wa kwenda SIDO... nayo ikaishia BASHITE
 
Veta mbona wako poa? Hawa jamaa vifaa wanavyo, Tatizo sylabus zao za kizamani na walimu waliowengi pia wa kizamani.
Walimu wenye elimu ngazi ya Diploma na Degree unaweza kuwahesabu wamejaza walimu wa zamani ambao hata fomu four hawakwenda au walipata Bashite.

Hlf veta imesahau jukumu lake la kutoa mafunzo imewekeza kwenye management tu.
Sido ndio kabisaaaaa bado wanachonga majiko ya mkaa na visu
 
Maana yake VETA na SIDO ni taasisi za serikali zilizochoka na hazina muelekeo wowote
 
Veta na siro imewatoa Vijana wengi ambao wamekuja kujiajiri mtaani tena ni mafundi stadi!
Syo hao wa mlimani mtu Ana maliza course ya uhandisi anasoma kwa kukariri tu.....practical zeroooo

OvA
 
SiDO na VETA ndio taasisi muhimu katika kufanikisha mapinduzi ya viwanda ila nazo zimechoka taabani kufanikisha hili
 
Back
Top Bottom