IsayaMwita huyo muungwana anafanya usanii tu na ni watu kama wewe mnaozugika na tabasamu lake mnafikiri ndio maendeleo!! Huyu muungwana akiwa majukwaani analaani RUSHWA lakini kwa hisia na vitendo vyake anatetea wala rushwa ama sivyo Lowassa, Rostam, Karamagi na Msabaha mpaka sasa wangekuwa lupango. Angalia kwenye chaguzi za CCm, yeye ni mwenyekiti; wagombea wanapeleka ushahidi wa waziri wake anatoa hongo kwenye uchaguzi wa uwT, badala ya kumuadabisha yeye anayetoa hongo tena waziri wa utawala bora ndio kwanza anakwenda kumpigia debe eti msomi; huko ndio kuipiga vita rushwa kweli!! Aaangalieni wasiopenda rushwa wakina Kagame wanavyofanya
Last edited: