Hapa Kazi Tuu: Abdulrahman Kinana yuko wapi?

Hapa Kazi Tuu: Abdulrahman Kinana yuko wapi?

CRITICAL MIND

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2013
Posts
416
Reaction score
403
Ukweli usiopingika ni kuwa kama si Kinana Kuzunguka nchi nzima kwa miaka takriban 3 kukijenga chama na CCM kuamua kumteua Mgufuli tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi

Sasa wakati Magufuli yuko bize kuweka mambo sawa na kwa kweli tunaona utendaji wa kazi umebadilika sana serikalini.

Sasa cha kujiuliza inakuwaje Abdulrahman Kinana haonekani na wala hatumsikii? Kama magufuli kashaanza na kasi ndani ya serikali je kwa nini CCM kama chama wako kimya? Naamini washafanya postmorterm na wanajua walikosea wapi na reforms zipi zinatakiwa kufanywa kuanzia kwenye grassroots level mpaka taifa.

Bila kusahau suala la Zanzibar ambalo nalo ni doa kubwa kichama.
 
anajitahidi kumeza cloxacillin ili jipu liivie ndani asitumbuliwe
hahah.................hata tembo wanajua ukombozi unakaribia
 
CCM inahitaji kufanyiwa overhaul ya nguvu ili iendane na hii kasi ya hapa kazi tuuu
 
Namweshimu sana Kinana. Kweli bila yeye mwaka huu CCM ingekuwa inatupeleka makaburini. Maana najua Lowassa angetimiza ahadi yake ya kuingia Ikulu na kuendesha kama swahiba wake JK.

Watu wanaona kama CCM haikuona wapi ilikosea. Ndo maana wanasema Magu anafanya kazi ya UKAWA, ila ukweli ni kuwa CCM ilitambua wapi walikosea. Ndo maana JK aliamua kuita wakongwe kuokoa. Na mpaka sasa JK anawasikiliza wao zaidi yake yeye anachopanga.
Ukweli usiopingika ni kuwa kama si Kinana Kuzunguka nchi nzima kwa miaka takriban 3 kukijenga chama na CCM kuamua kumteua Mgufuli tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi

Sasa wakati Magufuli yuko bize kuweka mambo sawa na kwa kweli tunaona utendaji wa kazi umebadilika sana serikalini.

Sasa cha kujiuliza inakuwaje Abdulrahman Kinana haonekani na wala hatumsikii? Kama magufuli kashaanza na kasi ndani ya serikali je kwa nini CCM kama chama wako kimya? Naamini washafanya postmorterm na wanajua walikosea wapi na reforms zipi zinatakiwa kufanywa kuanzia kwenye grassroots level mpaka taifa.

Bila kusahau suala la Zanzibar ambalo nalo ni doa kubwa kichama.
 
Ukweli usiopingika ni kuwa kama si Kinana Kuzunguka nchi nzima kwa miaka takriban 3 kukijenga chama na CCM kuamua kumteua Mgufuli tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi

Sasa wakati Magufuli yuko bize kuweka mambo sawa na kwa kweli tunaona utendaji wa kazi umebadilika sana serikalini.

Sasa cha kujiuliza inakuwaje Abdulrahman Kinana haonekani na wala hatumsikii? Kama magufuli kashaanza na kasi ndani ya serikali je kwa nini CCM kama chama wako kimya? Naamini washafanya postmorterm na wanajua walikosea wapi na reforms zipi zinatakiwa kufanywa kuanzia kwenye grassroots level mpaka taifa.

Bila kusahau suala la Zanzibar ambalo nalo ni doa kubwa kichama.

Mbona yupo tu..... Busy na kazi Uchaguzi umeisha sasa jiandae kummiss sana
 
Yuko msoga wanakunywa togwa huku mwenzake akimwambia "tuache upepo upite huku tembo wakipata mda wa kuzaliana".
 
kazi yake kubwa ilikuwa kuhakikisha ccm inarudi madarakani na wananchi wanakiamini tena chama cha mapinduzi. Kaifanya kazi hiyo kwa umahili na weledi mkubwa kwa kuanzia kufanya ziara za kukijenga chama mikoani na kusimamia zoezi la kukatwa luwasa hadi ku coordinate kampeni za ccm na magufuli kuwa raisi. Mzee wa watu kinana kafanya kazi mwacheni aendelee na kupanga utendaji wa chama kapata raisi jembe anamwacha afanye kazi chama kitafanya yake ku msapoti magufuli maana anarudisha imani ya wananchi kwa ccm.

Ukweli usiopingika ni kuwa kama si Kinana Kuzunguka nchi nzima kwa miaka takriban 3 kukijenga chama na CCM kuamua kumteua Mgufuli tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi

Sasa wakati Magufuli yuko bize kuweka mambo sawa na kwa kweli tunaona utendaji wa kazi umebadilika sana serikalini.

Sasa cha kujiuliza inakuwaje Abdulrahman Kinana haonekani na wala hatumsikii? Kama magufuli kashaanza na kasi ndani ya serikali je kwa nini CCM kama chama wako kimya? Naamini washafanya postmorterm na wanajua walikosea wapi na reforms zipi zinatakiwa kufanywa kuanzia kwenye grassroots level mpaka taifa.

Bila kusahau suala la Zanzibar ambalo nalo ni doa kubwa kichama.
 
Kinana yupo na sasa ni wakati wa Serikali kufanya kazi zake, chama kimefanya kazi kubwa sana na utamuona baada ya muda si mrefu akienda kukagua ahadi za serikali.
 
jamani watz mbona siasa zimeisha kazi ya kinana na kwa kila aliyekuwa kiongozi ccm kazi ilikuwa Moja tu ccm ishinde magufuli aingie ikulu na ikafanywa vizuri kbs. msemaji wa chama taifa ni nape.
 
hatua nyingine, Rais Magufuli jana
alikutana na kufanya mazungumzo na
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha
Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba.
Chanzo cha kuaminika kiliiambia MTANZANIA
jana kuwa pamoja na Profesa Lipumba
kumpongeza Magufuli kwa ushindi na kutoa
hotuba nzuri katika uzinduzi wa Bunge,
viongozi hao walizungumzia hali ya uchumi
wa nchi.
Katika mazungumzo hayo, Profesa Lipumba
alipewa kazi ya kuandaa andiko la hali ya
uchumi wa nchi na namna ya ukuzaji wa
uchumi.
Pamoja na hali hiyo, Dk. Magufuli,
alimpongeza Profesa Lipumba kwa msimamo
wake thabiti wa kupinga ufisadi na
amemtakia heri katika shughuli zake.
 
Kinana yupo na sasa ni wakati wa Serikali kufanya kazi zake, chama kimefanya kazi kubwa sana na utamuona baada ya muda si mrefu akienda kukagua ahadi za serikali.
Wewe mjamaa nina hamu yakukutana na wewe ana kwa ana, maana unaongea vitu kuntu mno,pia napenda mno ur stand.
 
Back
Top Bottom