MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Ni wazi kua Wananchi kila kinapotokea kitu kizuri hukitumia kinyume kwa manufaa yao binafsi!hii ni hatari sana hii.
Hii slogani sasa inatumiwa vibaka na wanyang'anyi kutisha raia wema! Hata pale wanapopanga kufanyia mtu kinyume cha utu, haki na desturi utasikia "HAPA KAZI TU"
Hivyo basi vyombo vya kulinda usalama wa raia vishughulike na magenge haya.
Hii slogani sasa inatumiwa vibaka na wanyang'anyi kutisha raia wema! Hata pale wanapopanga kufanyia mtu kinyume cha utu, haki na desturi utasikia "HAPA KAZI TU"
Hivyo basi vyombo vya kulinda usalama wa raia vishughulike na magenge haya.