Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Asee! kumbe nkifanya kaubunifu ka kuanzisha kakazi ka kutafutia wake madomo zege naweza kumake mkwanja hapa nchini eh! naona kama kwenye haka kaupande kuna mahitaji makubwa sana wandugu.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Yaani bila CV kali unafikri utampata mke hapa? Labda uende kijijini kwenu halafu ukamdanganye binti kuwa wewe ni wa mujini na una kazi nzuri!!!! Wakiona ni wa kutoka mjini hasa ukitaja Darisalama basi hata swali hakuna!! Ha ha ha!! Akifika huku anakuta unalala chumba kimoja uswazi halafu inabidi awahi asubuhi kuteka maji ya kisima cha maji ya chumvi!! Hela ya mboga jengeni haitoshi hivyo inabidi ampate muuza genge!!!!! Aise kuoa si suala dogo! Tutafakari given maisha bora kwa kila mtanzania tumeshindwa!!