Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kuanzia jana na leo asubuhi ninaendela kukagua vituo vya kupiga kura hapa Arusha mjini na nimebaini ya kuwa NEC haimthamini hata chembe mpigakura.
Makaratasi yenye majina ya wapigakura yamezagaa sakafuni na kuwalazimu wapigakura kuokota baadhi ya makaratasi hayo kuhakiki majina yao kama huu siyo mkakati wa kuwazuia wapigakura wasipige kura basi ni nini?
Jamani hivi NEC watasema gundi hawana ya kuhakikisha makaratasi yenye orodha ya wapigakura yanagangamala kwenye kuta au watakuwa na visingizio vipi na kwa nini tatizo hili limeanza uchaguzi huu?
Makaratasi yenye majina ya wapigakura yamezagaa sakafuni na kuwalazimu wapigakura kuokota baadhi ya makaratasi hayo kuhakiki majina yao kama huu siyo mkakati wa kuwazuia wapigakura wasipige kura basi ni nini?
Jamani hivi NEC watasema gundi hawana ya kuhakikisha makaratasi yenye orodha ya wapigakura yanagangamala kwenye kuta au watakuwa na visingizio vipi na kwa nini tatizo hili limeanza uchaguzi huu?