johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Nakumbuka shujaa Magufuli akiwa kwenye mkutano mmoja pale njia panda ya Kilosa alisema yeye hawezi kusaini hukumu ya kifo na wote waliohukumiwa kipindi chake wako magereza na kamwe hatasaini
Nadhani ndio hawa aliowazungumza Lisu mahakamani Leo
Mlale unono
Nadhani ndio hawa aliowazungumza Lisu mahakamani Leo
Mlale unono