johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,821
- 141,727
Kiukweli binadamu tumetofautiana sana.
Rais Magufuli Magufuli alisema hajasaini hukumu yoyote ya kifo kwa wafungwa waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa sababu akifanya hivyo na yeye atakuwa anauwa. Rais Magufuli alisisitiza kuwa hana mpango wa kusaini hukumu yoyote ya kifo hadi anatoka madarakani.
Hali ni tofauti kabisa kule Marekani ambako Rais Trump ameshanyonga watu 13 na wa mwisho kanyongwa juzi ikiwa ni siku tatu tu kabla ya Trump kuachia madaraka kwa Rais mteule wa Marekani mh Biden.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli Magufuli alisema hajasaini hukumu yoyote ya kifo kwa wafungwa waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa sababu akifanya hivyo na yeye atakuwa anauwa. Rais Magufuli alisisitiza kuwa hana mpango wa kusaini hukumu yoyote ya kifo hadi anatoka madarakani.
Hali ni tofauti kabisa kule Marekani ambako Rais Trump ameshanyonga watu 13 na wa mwisho kanyongwa juzi ikiwa ni siku tatu tu kabla ya Trump kuachia madaraka kwa Rais mteule wa Marekani mh Biden.
Mungu mbariki Rais Magufuli.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!