Hanigusi mpaka mimi nianze

Shida nini sasa kiongozi..? kama unahitaji na unapewa na mauno juu regardless umeanza ww hata sioni shida.
Ukitaka uwaelewe wanawake utaishi kwa stress maisha yako yote. Hao Mungu mwenyewe ndo anawaelewa .
Huyu jamaa labda mi nimemuelewa tofauti lakini naona kama anatafuta justification ya kumtema shemeji yetu. Jaribu kumuacha uone. Kwani ukiwa na kiu maji huwa yanatoka yenyewe kwenye mtu uyanywe? Omba ukipewa, tusua utulie. Au huwa pia hakupi ushirikiano alofundishwa unyagoni?
 
Yaaah, inawezekana ana sababu zake binafsi ila tu asianze kumu-undermine mtoto wa watu kwa mambo kama hzo.
 
Shida nini sasa kiongozi..? kama unahitaji na unapewa na mauno juu regardless umeanza ww hata sioni shida.
Ukitaka uwaelewe wanawake utaishi kwa stress maisha yako yote. Hao Mungu mwenyewe ndo anawaelewa .
Kweli Mkuu ,
 
Amekosa ham na wew

Kuna kitu kinamtafuna moyoni....maybe kuna kitu unamfanyia amekijua....!!

Mfano.una mchepuko amejua ila hajakubananisha bado...!!hakuambii so inamtafuna kwa ndan
 
Amekosa ham na wew

Kuna kitu kinamtafuna moyoni....maybe kuna kitu unamfanyia amekijua....!!

Mfano.una mchepuko amejua ila hajakubananisha bado...!!hakuambii so inamtafuna kwa ndan
hili nalo wazo.
 
Mwanamke ambaye anakusumbua kukupa papuchi wewe Kama huyo wako..
Kuna mwenzio anaambiwa "Wewe tu ukipata muda niite"
Inauma sana yani ila ndio maisha lazma yaendelee. Mwanamke akifa hisia ni kimeo
 
Ukienda kazini kuna mwenzako huko anapewa viuno vyakufa mtu
... Sikia mkuu tafuta mchepuko afu nawewe uwe unamringia uone kama hajakuanza
Amabokoooo.....eeh... Amabokooo!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Amaduduuuu......eeh... Amaduduuu!!!
 
KUNA MMOJA ALIKUWA ANAMAJINI MAHABA KWAHIYO HUWA WANAMUINGILIA KABLA YAKO NA KISA KINGINE NILISHUHUDIA DADA ALIKUWA ANAFANYA MAPENZI YA KIPEPO NA NABIII
 
Kuna mdau hapo amekushauri utafute mchepuko. Unaweza ona si point ya maana lakini hakika hiyo ndiyo dawa. Mwanaume wa kawaida hakosi mchepuko ,,,jiunge tafadhari na wanaume wenzako ili mkeo naye apate feeling kuwa yupo na mwanaume ambaye akizembea kumpa papuchi anaenda kutafuna papuchi ya mwanamke mwingine huko nje.
Tafuta hata michepuko miwili ambayo itakumaliza njaa yako kiasi unaweza fika nyumbani wewe ndiye unaona noma kutafuna kwani unaweza gundulika.


 
Hatumii chochote kati ya hivyo mkuu,ngoja niendelee kumuhimiza japo nimeshaongea sana mpaka nahisi nachoka

Kumuhimiza hakusaidii kunaleta tu Kero, wanawake was mpaka Leo sijawa elewa Hata kidogo!

Lazima Aweze kueleza ana shida gani, Labda hakupendi, Labda anachepuka, Ana miaka mingapi?
 
Basi hali unayoipitia ni ya kawaida tu mpe muda atajirudi maana mapenzi yamehamia kwa mwanao sasa hv.
NB: mimi sijaoa ila nina rafiki yangu na yeye anapitia kipind km hik ila alipata ushauri na akaelewa.

Atakuja kuelewa Baadae kwamba hakuelewa
 
Kutokana na asili ya mwanaume bila shaka wewe ndiye unapata genye haraka kabla yake. Ukishamwondolea zake wewe tena unakuwa wa kwanza kuzipata ambapo sasa unamkuta mwenzio bado hana hiyo miwasho. Ndiyo maana anaamua kusingizia kuumwa.
Kaa mwezi bila kumgusa uone kama hatakuanza.
 
Umemaliza kila kitu mkuu.... yani nimesoma zote nilipofika hapa nikatulia kwanza ....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…