Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
Hahahahah ndiwoookumbe
Hahahahah ndiwoookumbe
Hata sijui jamani mwenyewe najishangaa tuHaha umeanza lini kunimic we mke mtu
Ndio wanaaminika kwamba ndio wasomi
Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki
Hey your welcometo find beatiful ladies here
Marafiki wa nini?
Majaribu gani tena jamani we mume wa mtuUnanitia majaribuni ujue
YeahBora wewe hukuniwekea hicho kigezo.
Nishapata, mimi hii itakuwa hainihusu.
Majaribu gani tena jamani we mume wa mtu


ngoja nifike hapo mbele nakuja saiviMarafiki wawe single tu..Aisee kumbe, lakini kwenye uzi huu anatafuta marafiki
Nilikuwa nasubiri kwa hamu nione utajibuje
Nina mpango wa kuhack PM yako manake hapa unaweza kujifanya umepata ila huko PM ikawa different story
Na hili ndio sababu wazungu wanajiona bora kuliko sisi ngozi nyeusi, Dini wametuletea wao(white jesus)Hili dili la kiingereza limekuwa muhimu sana kwenye uchumba humu JF.