Hao watu hivyo vitu wanavyoongea hapo studio huwa wanapangiwa....ni vichache sana huongea kwa utashi wao.
Vile vipindi ni kama TV series tu, wanaangalia jamii inataka nini...
Huyo Hando naye kuna wakati huwa anafuka kama sembe mbichi
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.
Kiukweli kabisa J hando kaoengelea mambo ya mcingi saana kuhusu Nyinyiemu , sawa iko wakati anawaponda wanasiasa wa vyama vingine kiubaya sana
Lakini nimemuona amesimamia kidete serilkali kuhusu wale watoto wa halaiki kuhusu kifuta jasho chao kutoka kwa serikali akasema vizuri sana Ally Rufunga mkuu wa mkoa wa Shinyanga na leo ilikuwa zamu ya CCM na Magazeti yake.
Hivi CCM ikizungumza vizuri kuhusu CDM siku moja.........basi inakuwa imebadili mtazamo wake kuhusu CDM? sipendi kumpongeza mtu kwa hizi isolated cases....napenda TOTAL CHANGE
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.