Hando not Kibonde

Mlachake

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2009
Posts
4,451
Reaction score
4,655
Aliyesikiliza jicho la ngombe leo atajua Gerald Hando sio Kibonde.

''Ni kweli ccm imefikia sehemu ya kushindwa kumshawishi mtu bila Hongo''

''Hivi ni kweli CCM- ndio Chukua Chako Mapema"

Hii ni kuhusiana na yaliyotokea katika uchaguzi wa UWT huko Dodoma

Big up Hando.
 
Nini kimetokea, eleza vzr c wote waliopata taarifa. Huyo Hando ni nan?
 
dogo KATISHA SANA! Lakini sio lazima watangazaji kufanana.
umahiri ni mchanganyiko wa IQ, elimu, utashi, dira binafsi,kujituma na makundi.
 
Hao watu hivyo vitu wanavyoongea hapo studio huwa wanapangiwa....ni vichache sana huongea kwa utashi wao.
Vile vipindi ni kama TV series tu, wanaangalia jamii inataka nini...
Huyo Hando naye kuna wakati huwa anafuka kama sembe mbichi
 
Reactions: SMU
Sina uhakika kama hando ni tofauti kimsimamo na kampuni nzima.

Clauds fm ni kampukani pscha na CCM penda usipende ndo ilivyo, hapo Hando kawazuga tu.

Ni hayo tu bt fungueni macho na muone. Nawasilisha.
 
Kibonde ni janga la Kitaifa anautafuta u DC,,,,,,,,,tumpuuze
 
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.
 
Huyo Hando ni mpuuzi tu sawa na Kibonde, mtu pekee ambaye aendekezi njaa na kujikomba kwa hawa media house ni Masoud Kipanya tu.
 
Mimi nimepitwa wajameni, jamaa kaongea nini? Tujuze kidogo.
 
Huyo Hando ni mpuuzi tu sawa na Kibonde, mtu pekee ambaye aendekezi njaa na kujikomba kwa hawa media house ni Masoud Kipanya tu.
Na Fina Mango, nadhani hata Gadner Giabash yalimshinda.
 
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.
TV ina kiuno?........wanabishania hilo?
 
Kiukweli kabisa J hando kaoengelea mambo ya mcingi saana kuhusu Nyinyiemu , sawa iko wakati anawaponda wanasiasa wa vyama vingine kiubaya sana
Lakini nimemuona amesimamia kidete serilkali kuhusu wale watoto wa halaiki kuhusu kifuta jasho chao kutoka kwa serikali akasema vizuri sana Ally Rufunga mkuu wa mkoa wa Shinyanga na leo ilikuwa zamu ya CCM na Magazeti yake.

Mnyonge mnyongeni ila haki zake mpeni
 
Hivi CCM ikizungumza vizuri kuhusu CDM siku moja.........basi inakuwa imebadili mtazamo wake kuhusu CDM? sipendi kumpongeza mtu kwa hizi isolated cases....napenda TOTAL CHANGE
 
Huyo Hando ni mpuuzi tu sawa na Kibonde, mtu pekee ambaye aendekezi njaa na kujikomba kwa hawa media house ni Masoud Kipanya tu.

Sawa mkuu na ndio maana hadumu kwenye hizi stesheni zetu !
 
morning jam ya capital now adays imekuwa yakitoto,eti wana bishana tv inakiuno..badala yakuongelea mambo yalipo ktk nchi hii..yule jamaa aliekuwepo kaenda wapi?nampenda sana,ana iq yakutosha.naomba mnijuze tafathali.

Jamaa anaitwa Fadhili haule, kahamia TimesFM, naona kachukua nafasi ya masudi kipanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…