Wadau, nina girlfriend
wangu ambae tumekuwa pamoja kwa muda wa miaka 2. Kwa miezi kadhaa sasa
naona amebadilika linapokuja suala la mambo ya chumbani.Dizain inabidi
nitumie ushawishi mkubwa ili kupata tunda, then ye hatoi ushirikiano
kabisaaaa (kama natupia kwa maiti vile). Katika kumuuliza vizuri
akafungua kwamba hana hisia za kimapenZi na mimi. Hii hali imeniumiza,
na nimebaki na maswali mengi kwa kweli. Je ni kweli kwamba mtu unakosa
hisia kabisa za ku do na mtu wako au ndio kuna fundi kashafanya
yake!!?