Hamu ya kuwa na mtoto

Hamu ya kuwa na mtoto

Ha ha ha, mie mwenyewe nawatamani

Naskia kuna dawa za kurutubisha mayai yaongeze chances za ku-split, natamani kuzinywa ila naogopa nisije zaa zezeta

Hamu ya watoto huja, mie it started when I was 23, yaani nilikuwa natamani hadi basi

Kwa hiyo ni kawaida kabisa, sasa hivi walivyowasumbufu, huwa natamani kuwauza[/🙂QUOTE]

kama una twins niiuzie basi, jamani natamani twins sana jamani uwiiii
 
Pole utapata mwingine

Aksante The secretary................I hope so ingawaje klinachosumbua ni hiyo process yenyewe.

Dawa ya kidonda cha moyo ni kuongelea hilo jambo, mwishowe unalizoea

Kulizika moyoni ni hatari

You are right Kongosho but unajua huwa kuna complications kibao sio kama wanaume ambao wao wanaweza tu kutotolesha popote.............. I just wish na nilivyo na hamu ya katoto kanakotambaa!! we acha tu
 
Last edited by a moderator:
Aksante The secretary................I hope so ingawaje klinachosumbua ni hiyo process yenyewe.



You are right Kongosho but unajua huwa kuna complications kibao sio kama wanaume ambao wao wanaweza tu kutotolesha popote.............. I just wish na nilivyo na hamu ya katoto kanakotambaa!! we acha tu

mie natamani twins nifunge kazi, yaani Mungu anijalie haja ya moyo wangu.
 
True, very true

Take your time

You are right Kongosho but unajua huwa kuna complications kibao sio kama wanaume ambao wao wanaweza tu kutotolesha popote.............. I just wish na nilivyo na hamu ya katoto kanakotambaa!! we acha tu
 
mie natamani twins nifunge kazi, yaani Mungu anijalie haja ya moyo wangu.

Da Mkubwa, nikuone Privately? Aisee karibia nadata mdogo wako ujue!
Ukipata hao twin chukua watatu mmoja utanigea mie lol
 
Da Mkubwa, nikuone Privately? Aisee karibia nadata mdogo wako ujue!
Ukipata hao twin chukua watatu mmoja utanigea mie lol
Ila watoto wana raha jamani,mm hata boss wangu akinisumbua nikikumbuka watoto wangu najiskia raha moyoni.
 
Aksante The secretary................I hope so ingawaje klinachosumbua ni hiyo process yenyewe.



You are right Kongosho but unajua huwa kuna complications kibao sio kama wanaume ambao wao wanaweza tu kutotolesha popote.............. I just wish na nilivyo na hamu ya katoto kanakotambaa!! we acha tu

pole sana mwanajamii one daaah hizi feelings nilizonazo about mtoto nahisi zaweza athiri hata utendaji wangu
 
Mkuu huwezi kuwa na hamu ya kuwa na mtoto bila kwanza kumtafuta mke/mama mtarajiwa. Chakarika katika kumtafuta mke/mama mtarajiwa ili uweze kutimiza adhma yako ya kuitwa Baba. Kila la heri.

Wadau nisaidieni mie ni kijana mwenye miaka 26.. kiukweli ni mekuwa na hamu sana ya kupata mtoto na hamu hii imeanza mwaka jana nilipoanza kazi tuu. imefika mahali mpaka na google picha za watoto na save in my pc. sijielewi wadau na kiukweli nahisi naweza nikawa napata matatizo ya kisaikolojia taratibu.
 
Mkuu huwezi kuwa na hamu ya kuwa na mtoto bila kwanza kumtafuta mke/mama mtarajiwa. Chakarika katika kumtafuta mke/mama mtarajiwa ili uweze kutimiza adhma yako ya kuitwa Baba. Kila la heri.
amen mkuu
 
Da,,umeniumiza pia!!
Mtoto angekuwa nguo ningenunua kwa gharama yoyote.
Ndio maana call ringtone yangu mimi ni ya Mwanamuziki wa kundi la Mushroom,usemao
MTOTO SI NGUO
UTAOMBA MTU
KOSA WAKO UTALIA SANA,
NAKOSA WANGU EE MI NALIA SANA...
=
 
Kama wewe ni wakike sishangai sana..lakin kama ni wakiume mh! Jaribu kwenda kwa wataalam..ila pia kama unaweza kupata huyo mtoto na una uwezo wa kumtunza yanini hujitese!
 
Da,,umeniumiza pia!!
Mtoto angekuwa nguo ningenunua kwa gharama yoyote.
Ndio maana call ringtone yangu mimi ni ya Mwanamuziki wa kundi la Mushroom,usemao
MTOTO SI NGUO
UTAOMBA MTU
KOSA WAKO UTALIA SANA,
NAKOSA WANGU EE MI NALIA SANA...
=

pole sana tetra
 
Kama wewe ni wakike sishangai sana..lakin kama ni wakiume mh! Jaribu kwenda kwa wataalam..ila pia kama unaweza kupata huyo mtoto na una uwezo wa kumtunza yanini hujitese!
mshumaa mie ni mwanaume tena kamili saaana but swala la kuwa na mtoto siyo kuzaa zaa ovyo tuu. mtoto bora na smart ni yule anayezaliwa na wazazi wanaopendana kwa dhati na hasa wanaoishi pamoja
 
tafuta kwanza salary...tafuta mama wa mtoto..thn ndo umtafute mtoto mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom