KIMAROO
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 453
- 259
Wadau nisaidieni mie ni kijana mwenye miaka 26.. kiukweli ni mekuwa na hamu sana ya kupata mtoto na hamu hii imeanza mwaka jana nilipoanza kazi tuu. imefika mahali mpaka na google picha za watoto na save in my pc. sijielewi wadau na kiukweli nahisi naweza nikawa napata matatizo ya kisaikolojia taratibu.