Viongozi wa CHADEMA wote walikuwa mahabusu sasa wanahaha kusingizia CHADEMA wakati hata hawakuwepo.
Vijana wamefanya maandamano kutokana na hasira zao. Heche hakuwa hata na simu, Lissu hakuwa hata na simu. Wizi wa kura na kufanya mambo fake ni matatizo yenu sio Heche
Vijana wamefanya maandamano kutokana na hasira zao. Heche hakuwa hata na simu, Lissu hakuwa hata na simu. Wizi wa kura na kufanya mambo fake ni matatizo yenu sio Heche