Hamtaweza kusingizia Chadema mapungufu yenu

Hamtaweza kusingizia Chadema mapungufu yenu

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,270
Reaction score
13,897
Viongozi wa CHADEMA wote walikuwa mahabusu sasa wanahaha kusingizia CHADEMA wakati hata hawakuwepo.

Vijana wamefanya maandamano kutokana na hasira zao. Heche hakuwa hata na simu, Lissu hakuwa hata na simu. Wizi wa kura na kufanya mambo fake ni matatizo yenu sio Heche
 
Heeeeeh! Sio wageni wa nchi jirani tena🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ila kama ni zile zile akili zilizoibia kura ndio wanaendelea nazo, basi tena.
 
Viongozi wa CHADEMA wote walikuwa mahabusu sasa wanahaha kusingizia CHADEMA wakati hata hawakuwepo.

Vijana wamefanya maandamano kutokana na hasira zao. Heche hakuwa hata na simu, Lissu hakuwa hata na simu. Wizi wa kura na kufanya mambo fake ni matatizo yenu sio Heche
 
Heeeeeh! Sio wageni wa nchi jirani tena🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Ila kama ni zile zile akili zilizoibia kura ndio wanaendelea nazo, basi tena.
Ni CHADEMA ndiyo wamesababisha yote haya. Kuhusu wageni, mheshimiwa alipitiwa tu bahati mbaya na usingizi wakati anatamka.
 
Back
Top Bottom