Hamjamboo? Mwenyekiti mpya huyoo..

Hamjamboo? Mwenyekiti mpya huyoo..

Unyevu nyevu

Member
Joined
Oct 30, 2013
Posts
18
Reaction score
4
Ni mwenyekiti wa kijiji cha tukundane.
Amekamatwa na ngozi ya kobe,eti alikuwa anakuja kuiuza chit chat,kama masharti ya uganga ya wagombea umiss humu!
 
ni nani huyo mana huyu tuna rais tu hatuna mwenyekiti
 
kwa hiyo jamaa kamchuna ngozi Kobe Bryant!!! siku nyingine mwambie amchune Hasheem Thabeet hapo ndio atapata ngozi nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom