Nakfa
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,979
- 14,400
Mimi siko kama wewe (sina zile tabia zako) no offense!Kwani alikwambia yupo single?
Mbona kama mmeumia kujua ana babe?
Lol,
![]()
Bebe wa B12 namjua na nilishakutana nae 2018 NMB mwenge.
Acha kuzushia watu

