mwambie aanzishe timu yake asiing'ang'anie Simba kama bilioni 20 za kutoaKuna mchezaji yoyote aliyelalamika hajalipwa mshahara?
unajua hela zinatoka wapi?
hauwezi ukaweka bil 20.halafu haujui zitarudi vipi hyo ni biashara kichaa.
Mimi nipo na moo..
timu imetulia.
ligi ya Tanzania kwa sasa haina uwezo wa kurudisha bil 20.
Shit! Kilomoni ni mmiliki wa klabu ya Simba?Kwa kweli Wanachana na Mashabiki wa Simba wakishindwa kumlinda mmiliki halali wa Timu yao.....!? Watathibitisha kweli Mbumbumbu...
Wamlinde Hamisi Kilomoni, watakuwa wamelinda hati yao na timu yao,
Wapenda haki ktk soka la Tanzania naamini watakusikia na kukuelewa kwa msg uliyoiweka hapa jukwaani, ila jukumu kubwa ni kwa Simba wenyewe..
Bi Hindu na Mzee Kilomoni peke yao hawawezi....wamejitahidi kupigania Club yao kwa kweli.
Nakubaliana na mtoa Post.
Tupo imara hatutushwi na kelele za mwekezaji maslahi
Ndio hicho. Hawajui wachezaji wanalipwa na nani. Hawajui benchi la ufundi wanalipwa na nani?
kama ni rahisi Kuongoza timu wachukue wao.
Na kuhusu uwekezaji wa billion 20.moo nae anaangalia maslahi yake. Haiwezekani mtu aweke billion 20.na hajui zitarudi vipi huo ni uchizi.
Kikubwa wachezaji walipwe stahiki zao. Timu itulie.
Hivi hizo hati Kilomoni anazoziita anaimiliki Simba SC zimeanfikwa kwa jina la Kilomoni? Au umiliki huo umeanzaje?:-
1) Kilomoni Ndiye aliyeianzisha Simba kama timu Yake mwenyewe?
2) Kilomoni aliinunua Simba SC kutoka kwa walioianzisha?
3) Kilomoni sio mmiliki Bali alikabidhiwa hati za timu tu azihifadhi?
Au hebu nielewesheni kuhusu huyu the so called Kilomoni.
Njoo ufue nguo zako chafu!!! Hizo asilimia anazomiliki unafikiria unafugia majini?Povu la nini?!..........CEO wa Simba SC Magori alikiri pale Clouds kuwa MO hajatoa hizo fedha bali ana mpango wa kununua Hati fungani za serikali siku za mbeleni. Ndiposa watu makini kama Manara wakashtuka.
Kama hajui zutarudi vipi aondoke watakuja wengine wanaojua
Tumechoshwa na uhuni wa huyu muhindi
Hahahaa...... Povu kibao!Njoo ufue nguo zako chafu!!! Hizo asilimia anazomiliki unafikiria unafugia majini?
Njoo ufue?? Mpira sio upuuzi wa siasa za kibajajHahahaa...... Povu kibao!
Hahahaa..... foma!Njoo ufue?? Mpira sio upuuzi wa siasa za kibajaj
Duh!. Wengine walikua mbegu za karanga bado
Na kufua hujuiHahahaa..... foma!
Hapa wanzania ndo tunapokuwa wagumu kuelewa. Kampuni sio majengo viwanja etc Bali ni nyaraka kadha wa kadha. Simba haiwezi ikawa kampuni/legal person nyenye uwezo wa kushitaki/kishitakiwa/kudai/na kudaiwa bila kuwa na nyaraka kadha wa kadha ikiwemo hati ya usajili na hati za Mali na madeni yake. Kampuni makaratasi kadha wa kadha bila hayo hamna kampuni. Kampuni inayoitwa Simba haipo trust me. Hapa Kuna ujanja ujanja wa kanjibahi na genge lakeHuyo kilomoni kwanza ameshatimuliwa katika bodi ya wadhamini. Anazunguka kwenye vyombo vya habari oh sijui ana hati za Sunderland tangu wakiwa wanalipa ada sijui ya sh10. Kilomoni naona ameanza chokochoko kama zile za Akilimali enzi za uongozi wa Manji Yanga. Viongozi wa Simba wampuuze huyu mchumiatumbo. Timu kwa sasa inaongozwa kama kampuni hakuna kujichotea na kugawana hovyo tena.
Ohooo??? Bi Hindu naye mwekezaji na mfadhili wa simba au yeye ni nani. Kuna vitu vya kukaa na kusikiliza lakini kwa mpira wa sasa wa kisasa Bi Hindu anajua nini? hata huyu mzee Kilomoni ana tofauti gani na mzee Akilimali ya Yanga. Ni vizee vinavyocheza mpira kwa mdomo bila
20bn hiko wapi? Ahadi kibao huku anajipa competitive advertising advantage Africa nzima na football global connections bila kutoa chochote ila maneno. Hizo anazotoa Ni ndogo uklinganisha na flagship anayopewa na Simba SsMimi nataka nijue mo anaujanja ujanja kivip labda
Mh. Aden rage anawajua mashabiki na wanachama mbumbumbu wa msimbazi...Upumbavu tuu