GE2025 Hamisi Kigwangalla ashauri kesi ya Tundu Lissu ifutwe

GE2025 Hamisi Kigwangalla ashauri kesi ya Tundu Lissu ifutwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu si wa kuamini sana, Lissu hahitaji huruma, atendewe haki yake, na hilo limeonekana wazi kuwa hana hatia.
 
Kwanini watu wakikosa teuzi akili zinarudi na kukaa sawa?
Kigwangala awe anaangalia nyuma akitembea peke yake.
Juzi kati mabango aliyoweka kwao kwa kuinadi CCM yaliondolewa. Ina maana CCM hawataki michango yake ya kimichongo.
 
Back
Top Bottom