Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Si mtizamaji wa hiyo TV, lakini kwa maelezo yako kama ndivyo ilivokuwa huyo hafai kabisa kuendesha kipindi cha aina hiyo.
Kujadili Wajinga wajinga kama hao humu Jamvini ni kuwapandisha chati tu wasizonazo. Huyo ni mmoja wa Vibaraka waliotumwa na Nape. Amevaa Chu pi kichwani lakini hajijui kama watu wanamwonaje.
Mi' sidhani kama Damumbaya anapaswa kufukuzwa pale Mlimani TV kwa kuwa
hata hiyo TV station yenyewe haiendi kama slogan yao isemavyo: "Elimu Kwanza",
yaani ni sawa na mchafukoge mtupu.
Ilipoanzishwa nilitarajia TV ya wasomi ingekuwa mfano kwa TV zingine lakini imekuwa
tofauti kabisa, wanaiga hadi pumba na kuziweka kwenye TV yao. This is SHAME!
Lakini jamani siyo kweli kwamba samaki mmoja kioza basi eti wote wameoza, japo kuna wengine hapo Mlimani TV lakini siyo kwamba nao ni kama huyo mnayemlalamikia, mwacheni afe kivyake, na wengine wasafi wanaopeperusha bendera ya Mlimani Tv vizuri tuendelee kuwapongeza ili kuwapa moyo wa kuzidi kututumikia Watz, vinginevyo na huyo sijui ndiyo Damumbaya ajifunze na kubadilika kutokana na udhaifu wake huo, na pale aliposema katika bunge la katiba kuwa vyombo vya habari vidhibitiwe kurusha mijadala ya katiba mpya, kama vipi avue gamba!
Lakini jamani siyo kweli kwamba samaki mmoja kioza basi eti wote wameoza, japo kuna wengine hapo Mlimani TV lakini siyo kwamba nao ni kama huyo mnayemlalamikia, mwacheni afe kivyake, na wengine wasafi wanaopeperusha bendera ya Mlimani Tv vizuri tuendelee kuwapongeza ili kuwapa moyo wa kuzidi kututumikia Watz, vinginevyo na huyo sijui ndiyo Damumbaya ajifunze na kubadilika kutokana na udhaifu wake huo, na pale aliposema katika bunge la katiba kuwa vyombo vya habari vidhibitiwe kurusha mijadala ya katiba mpya, kama vipi avue gamba!