Hamisa Mobetto kuzimisha Nyota ya Wema Sepetu

Era ya Wema ndio ishapita alishindwa kutumia umaarufu wake kuingiza mkwanja sidhani kama hata nyumba anayo..kwl Hamisa amemfunika ghafula bin vuu sasa hivi impact ya wema siyo kivile kina petit zenyewe washakimbia.....lkn still she can do something aanzishe hata maduka ya vipodozi kwa brand ya jina lake uchi huzeeka ohooo.
 
Ila tununu mwenzangu alizidi binamu, kipindi kile domo alivyokubal mtoto alikua anajishaua mno na kujiona queen, sasa hivi full stress yeye na dada ake mange hawana amani, wangekua na uwezo wangemuua zari
Wamuue zari kwa lipi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom