Hamis Kigwangala kuhamia CHADEMA

Hamis Kigwangala kuhamia CHADEMA

Malova

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
784
Reaction score
228
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.

Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.
 
Huyu ana laana ya kumtelekeza baba yake, Aende tu mwana kwenda
 
Hamna kitu kama hicho; atathubutu kuacha ile 50m/=? Kumbuka magamba wanaweka mazingira kwamba mara tu baada ya Bunge kuvunjwa hakuna mbunge atakayeweza kuhamia kokote.

Yaani iko hivi, Tume ya Uchaguzi inaweza kuweka masharti kwamba mwisho wa kurudisha fomu za ubunge ni siku moja kabla ya kuvunja Bunge. Wana maana hao!
 
Labda ameshausoma upepo wa wapinzani huko jimboni mwake ameona hana chake come 2015
 
Time will tell....

And, Aristotle has it that: "we are what we repeatedly do."

Hatokuwa wa kwanza, iwapo itatokea. Ref. Wassira, Dr. Slaa et al.
 
upepo mbaya upo katika kila sehemu zinazoongozwa na CCM.

Hata kwa viongozi wakuu wa nchi wajiandae kuwa wanawajibika kwa Mbunge, Diwani wa UKAWA. Labda wahame nchi.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Time will tell....

And, Aristotle has it that: "we are what we are repeatedly do."

Hatokuwa wa kwanza, iwapo itatokea. Ref. Wassira, Dr. Slaa et al.


Si hao tu kwani Mtanzaia yeyote ambaye alizaliwa kabla ya Mwaka 1992, elewa alikuwa CCM.

Lakini kutokana na UOZO uliopo tukaamua kujiondoa na kushabikia UKAWA.

Lazima tuwaondoe Viongozi wabovu wa CCM madarakani mwaka huu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Si hao tu kwani Mtanzaia yeyote ambaye alizaliwa kabla ya Mwaka 1992, elewa alikuwa CCM.

Lakini kutokana na UOZO uliopo tukaamua kujiondoa na kushabikia UKAWA.

Lazima tuwaondoe Viongozi wabovu wa CCM madarakani mwaka huu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Nimekusoma vizuri mkuu....(oops! Nukuu ya Aristotle isomeke: We are what we repeatedly do...)
 
Kuna taarifa za kuaminika kuwa Dr.Hamis Kigwangala Mbunge wa Nzega ameonesha nia ya kuhamia CHADEMA.

Kwa taarifa hizo zilizotufikia zinasema kwamba Kigwangala anatarajia kuhamia CHADEMA mara baada ya Bunge kuvunjwa June 30, 2015.

CCM ni kama Sir Alex Ferguson. Mchezaji akijifanya much know ; tupa kule.

Kama ni harakati za ukweli,kufa na kupona,mbona kina mwakyembe na Filikunjombe wanazichapa sana. Kwamba yeye kaona shida gan?

Napendekeza aendage Chadema tu. Yaana tutakuwa tumeuza #galasa kama tulivowauzia #SHIBUDA . Mlijua ni jembe. Sasa mnahaha nakuliona zigo la mavi.
 
Back
Top Bottom