Hamis Kagasheki amethibitisha kuwa cheo bila elimu si lolote

Status
Not open for further replies.
J4 napenda nikueleze kuwa mimi sina nafasi ya kulumbana na wewe huena ni mmoja wa kikundi cha ushangiliaji, ningetegemea useme ni lipi la uongo kati ya hayo au utoe ufafanuzi pale ambapo nimeenda off. Jadili hoja usiwe mnazi tu.

Usisumbuke na wakurupukaji songa mbele!
 
Nani kakuambia ukimkosoa kagasheki anameguka?

Mheshimiwa, niwie radhi, lakini sioni ukosoaji mwenye mada. Kila bina damu lazima awe tayari kukosolewa, lakini unakosoa kwa njia inayofaa....Mwandishi hajakosoa, bali anajaribu kuchafua. From the promises to the education purported herein, all seems not have no flesh. The argument is invalid. It is does not hold, the points falling apart on their own, and that's why the author is being toned left and right. All these people against the author cant be wrong. The author has some issues he needs to resolve !
 
Mheshimiwa, niwie radhi, lakini sioni ukosoaji mwenye mada. Kila bina damu lazima awe tayari kukosolewa, lakini unakosoa kwa njia inayofaa....Mwandishi hajakosoa, bali anajaribu kuchafua. From the promises to the education purported herein, all seems not have no flesh. The argument is invalid. It is does not hold, the points falling apart on their own, and that's why the author is being toned left and right. All these people against the author cant be wrong. The author has some issues he needs to resolve !
Heshima yako mkuu Mashaka, wenzetu usema give a.... enough rope atajimaliza mwenyewe; mleta mada kakili toka mwanzao kwamba amejiunga na forum ya JF akiwa na kitu kimoja in his MIND - kumpa fundisho Balozi/kumchafua!!! Sijui Wahaya tumeingiliwa nini, kwa watu wanaojua silika ya Mh.Kagasheki Khamis tangu ujana wake nani ambaye anaweza kukubali hadithi hizi za kutunga, kama mleta mada ana personal issue za ku-resolve na Mh.Khamis basi awe na ujasiri wa kukili wayamalize in camera; kwa nini hatujaribu ku-borrow a leaf kutoka kwa Wenzetu Wachaga!! Uwezi kuwaona hata siku moja wakichafuana kwenye mitandao ya kijamii na media nyingine.
 
Dah! ndomaana BK ata bus stand hamna! jamaa km ndo mala ya kwanza bas Dr anatory kakutekenya kumuandikia km kweli si wewe Anatory! kwanza umesema Baloz kagashek hakusoma ukashindwa kutuonesha CV yake yote zaid ya majungu! unasema alikua houseboy wa Dr Salim na kuomba utubu dhambi kwa uzushi! kwa hiyo eti akajifunza kingereza ndo sifa iliyomfanya awe BALOZI Uswis! mie sio CCM lakin alichokifanya baloz ni noumaa barabara zote rami,uwanja wa ndege mashule ya kata yalivyo mazuri utadhan SAINT....
 
Mleta mada umenisikitisha sana kwani naona unajenga hoja kishabiki. Hakika ukitaka kuujua ukweli wa bk itakubidi kwanza usiwe shabiki wa upande wowote ili uweze kuchambua hoja kwa usahihi. Ukiacha siasa pembeni, na kama umefuatilia suala hili tangu mwanzo, bado kuna maswali mazito yanayohitaji majibu yasiyo ya ubabaishaji. Niliona kwenye youtube hotuba ya mh. Kagasheki pale mayunga. Makosa yake makubwa ambayo yamejadiliwa sana hapa naona ni kutumia wadhifa wake kupinda sheria ili akidhi matakwa ya rafiki yake meya pia kumwaga maneno ya kumdhalilisha meya hadharani jambo ambalo angelifanya kwenye vikao vya ndani. Pamoja na hayo bado hoja nyingine dhidi ya amani zina mantiki kubwa sana hasa kuhusu viwanja, soko na stendi na sijawahi kusikia majibu mujarabu tofauti na oooh wanapinga maendeleo, oh wanataka wanitoe mimi mkristo wamweke mwislam n.k.
Pia ieleweke wazi na hapa ndipo natatizika sana kuhusu soko kuna kesi mahakamani zaidi ya mwaka sasa ambapo halmashauri iliamuriwa isijihusishe na jambo lolote kuhusu soko hadi itakapolitolea uamuzi. Sasa je mh rais hakuambiwa hili hadi akalitolea maagizo ukiacha tu kuliongelea , kwamba anaingilia mhilmili mwingine? Je sasa hata meya na mbunge wakipatana halmashauri itatekeleza maagizo yapi ya rais ama ya mahakama?. Ni jambo la kusubibiri na kuona , lakini vyovyote vile iwavyo bk tunahitaji maendeleo si malumbano.
 
Yani mtoa mada sijafahamu jinsia yako km wewe ni mwanamke nadhani ayo ndo madhara ya kupigwa katerero! yani unadanganya ma great thinker wa JF eti Balozi Kagasheki hana elimu au elimu kwako hadi mtu aitwe DR? kati ya wabunge waliyayatendea haki majimbo yao basi Kagasheki kafunika BUKOBA ya leo tofauti na ilivyokua kwa KATARAIYA(CCM),LWAKATARE(CUF) sasa CDM ona mambo aliyoyaahidi na aliyotekeleza...KAFGASHEKI ana haki ya kulalamika kwan yeye anawajibika kwa wapiga kura sio Dr Anatory....
 
John Mashaka, and the likes. I am totally lost in darkness. Mleta thread has put it clear that he was at the scene and hence heard and saw what Kagasheki said to the President and the audience at large. He has highlighted what Kagahseki wanted the president to know and perhaps use his (president) executive power to intervene the areas Kagesheki thinks are going astray. He has gone further asserting that Kagasheki failed in his lower education of which he passed through the narrow door to attain his tertiary education. In a nutshell that's what the guy wanted those visiting this network to know. What disturbs me is that why don't you guys counter analyse what he claims to have heard from the horse's mouth instead of branding him a lier, news monger, an architect of fabrications and the likes? Kagasheki however good he might be in some areas but yet he's a humanbeing susceptible to mistakes and errors. At least I know at one time at Mwanza airport when he wanted to place his luggage behind the cockpit it was strictly written not place anything at that point. This resulted in verbal confrontation with a young pilot-Kenyan citizen before Kagasheki gave and exited the plane to hire his own chattered flight. However, before doing that he threated the pilot "wewe si mkenya sasa tutaona" We passengers on board got astonished such remarks came from the man with such exposure, education and diplomatic experience. So please mnapomtetea mtu msifike pahala mleta mada akaonekana ni nothing. He has a point and seems not once Kagasheki gives remarks below his status
 
waacheni hao wote ilimladi tatizo mmeelewa ni CCM sharti mnajua la kufanya sasa make meya na mbunge wote ni chama hicho na bado raisi naye ijapo ni mwenyekiti wao bado wameshindwa kuresolve ishu ...simple,2015 msipofanya maamuzi sahihi mtabaki na unshomile wenu na hivyo vitu meli na viwanja vya ndege mnadai wala navyo havitawasaidia

nyinyi ni ndugu zangu ila lazima mkubali kwa ajiri ya njaa zenu mmekuwa na kautumwa ka kagasheki kisa futali mnakula bure kwake ..watch it!
 
na wewe mleta mada tunaomba utuwekee hapa ni kitu gani kagasheki alihaidi 2010 na nini amefanya na hajafanya mpaka sahivi ili tuwe na uwanja mpana wa kuchambua kuliko kutekwa na ishu moja ambayo kimsingi haiwezi kuwa sababu pekee ya kubeza aliyoyafanya ndani ya miaka hii3 thn tutajua nini ni nini but please huwe mkweli katika kuwasilisha usiwe dos wala pros tuachie sie tuamue
 
WAHAYA KWA MAJUNGU MMEBARIKIWA NDO MAANA HOSPITALI YA MKOA ILIPOKEA MADAKTARI 10 WENYE SHAHADA WOTE WAKAHAMA SABABU YA MAJUNGU KILA SIKU HATA KTK SEHEMU MUHIMU.

Mleta uzi ni muumini wa DR. AMANI au HOUSEBOY WAKE.

Mwana wa Mtemi, mimi siyo muumini wa Dr. Amani wala Houseboy wake, bali nimesukumwa na mwenendo wa Kagasheki kwa cheo chake kubehave kama mlamba mataputap wa Kashai. Kwa watu kama wewe nitazidi kuwaomba mjadili hoja, je ilitakiwa uwe houseboy wa Kagasheki ndipo uone kuwa alitoa point ovyo mbele ya rais. Tatizo la watu kama nyie ni kama ile methali isemayo 'Mpenda chongo uita Kengeza" always stand for the truth, call a spade a spade. Kagasheki proved to be empty in his mental faculties.
 
John Mashaka, and the likes. I am totally lost in darkness. Mleta thread has put it clear that he was at the scene and hence heard and saw what Kagasheki said to the President and the audience at large. He has highlighted what Kagahseki wanted the president to know and perhaps use his (president) executive power to intervene the areas Kagesheki thinks are going astray. He has gone further asserting that Kagasheki failed in his lower education of which he passed through the narrow door to attain his tertiary education. In a nutshell that's what the guy wanted those visiting this network to know. What disturbs me is that why don't you guys counter analyse what he claims to have heard from the horse's mouth instead of branding him a lier, news monger, an architect of fabrications and the likes? Kagasheki however good he might be in some areas but yet he's a humanbeing susceptible to mistakes and errors. At least I know at one time at Mwanza airport when he wanted to place his luggage behind the cockpit it was strictly written not place anything at that point. This resulted in verbal confrontation with a young pilot-Kenyan citizen before Kagasheki gave and exited the plane to hire his own chattered flight. However, before doing that he threated the pilot "wewe si mkenya sasa tutaona" We passengers on board got astonished such remarks came from the man with such exposure, education and diplomatic experience. So please mnapomtetea mtu msifike pahala mleta mada akaonekana ni nothing. He has a point and seems not once Kagasheki gives remarks below his status

Big up Bigaraone, unless someone is a fool, I think you have put the point clear. You know, some people are coming up with fanny criticism simply because they are fans of Kagasheki. I was there at Kaitaba, I heard the man presenting issues which were discussed indoor with the president on the day he arrived and the concensus was arrived since then. The fool will come up in the same fashion, but the one with a grain of brain will come up with counter arguments if any.
 
Dah! ndomaana BK ata bus stand hamna! jamaa km ndo mala ya kwanza bas Dr anatory kakutekenya kumuandikia km kweli si wewe Anatory! kwanza umesema Baloz kagashek hakusoma ukashindwa kutuonesha CV yake yote zaid ya majungu! unasema alikua houseboy wa Dr Salim na kuomba utubu dhambi kwa uzushi! kwa hiyo eti akajifunza kingereza ndo sifa iliyomfanya awe BALOZI Uswis! mie sio CCM lakin alichokifanya baloz ni noumaa barabara zote rami,uwanja wa ndege mashule ya kata yalivyo mazuri utadhan SAINT....

Masikini Binary no, pole sana. Hivi hujui barabara huwa zinajengwa na nani? hujui uwanja wa ndege umejengwa na nani? shule unalinganisha na za wapi? Ni shule ipi inayolinganishwa na SAINT.. Nshambya, Bakoba, Hamugembe, Kashai, Bilele, Rumuli au ipi. Hata hivyo hizo shule za Kata fedha yake inatoka wapi, si ni Manispaa? Nimesema jamaa alifail form six wewe sema alifahuru na utupe shule aliposoma na kufahuru. Utaona aibu mengine sikutaka kuyaweka wazi ya shule na grade alizopata. Sasa wewe unayemtetea weka wazi kama hutalaumiwa wewe.
 
na wewe mleta mada tunaomba utuwekee hapa ni kitu gani kagasheki alihaidi 2010 na nini amefanya na hajafanya mpaka sahivi ili tuwe na uwanja mpana wa kuchambua kuliko kutekwa na ishu moja ambayo kimsingi haiwezi kuwa sababu pekee ya kubeza aliyoyafanya ndani ya miaka hii3 thn tutajua nini ni nini but please huwe mkweli katika kuwasilisha usiwe dos wala pros tuachie sie tuamue

Helo Rweye. Sikuongelea lolote juu ya ahadi zake, mie nilikuwa ninaongelea jinsi ambavyo anatoa hoja zilizochini ya kiwango cha cheo chake. Waziri siyo mtu wa mipasho. Kauli yake ni kauli ya serikali, sasa anapofikia hatua ya kutumia lugha za mdundiko inatia haibu.
 
Ndugu wa JF hii ni post yangu ya kwanza katika jamvi baada ya kuwa msomaji wa nyuzi za watu kwa muda mrefu. Kilichonihamasisha kujisajili ni utumbo aliouonyesha Waziri wa Maliasili ndugu Hamis Kagasheki alipokuwa anaelezea kero za Bukoba Manispaa kwa Mhe,Rais Kikwete. Nilianza kumdharau tangu alpiofanya mkutano katika viwanja uwanja wamashujaa almaharufu UWANJA WA MAYUNGA na kuanza kuporomosha matusi na vijembe kwa Mhe. Meya wa Manispaa ya Bukoba Dr. Anatory Amani.

Sikutegemea mtu kama yeye aanze kurusha vijembe kwa mambo ambayo angeweza kutaka ufafanuzi wake katika vikao vya baraza la madiwani maana nayeye ni diwani. Chafu kabisa ni pale aliposema kuwa yeye Kagasheki, alitumia madaraka yake kama waziri mdogo wa mambo ya ndani kuwapatia watoto wa Dr. Anatory Amani passport za Tanzania wakati wao hawakuwa watanzania.
Kwa hapo nilitegemea kuwa kesho yake atakuwa amepoteza nafasi yake ya Uwaziri kwa kutumia madaraka vibaya. Sijui JK alisubiri nini kumwajibisha mtu huyu. Anyway, JK ndiye anajua kwanini.

Ninalotaka kuonyesha hapa ni kuwa Elimu yake ndogo haikuweza kumuonyesha kuwa kwa hilo anajiumbua mwenyewe wala si Dr. Amani. Nirudi Kaitaba, alipopewa nafasi ya kuelezea kero za wananchi, alianza kwa kutoa slogans za kishambenga kiasi cha kutia kinyaa kwa mtu kama yeye- alianza, 'ndeteeeee(Maana yake nileteee), Nsindikeee(Nisukumeee), Ngambeee(Nisemeee) huku kikundi alichokiandaa kikawa kinaitikia 'letaaa, sindikaa(sukumaa), gambaa|(semaa) na kushangilia kwingi bila kujali ni nini linalosemwa juu yake.

Hizi ndizo hoja zake

1. Wananchi wanataka wacheze disco hadi asubuhi.

2.Kuna kero ya ujenzi wa soko utaratibu wake haueleweki.

3. Kero ya viwanja mia nane (800), na kuwa kuna mradi wa viwanja 5000 ambvyo yeye binafsi hajaviona.

4. Ahadi ya Meli ya Mhe. Rais (Hii aliitoa kwa kucopy kutoka kwa Mbunge Jasson Rweikiza wa BK V.

Haya ndiyo majibu ya Rais kwake - Hivi na kuona viwanja unamsubiri rais badala ya kwenda ofisi za manispaa ukaulizia mahali vilipo.

- Soko lazima lijengwe, hatuwezi kuzuia maendeleo. Hatuwezi kubaki kwenye analogia wakati watu wanahamia digital. La muhimu hao wanaotumia soko la sasa wapewe mahali pa kufanyia biashara kwa muda. (Huu ndiyo ulikuwa uamuzi wa mhe. Meya na baraza lake lakini kwa kutaka kuungwa nkono wa watu wasiyo na maono Kagasheki alijiunga nao kukataa mpango wa kuwahamishia katika Pahale la CCM( kundi aliloliandaa lililoa maji huku umati wenye uelewa ukiripuka kwa kushangilia).

- Kuhusu disco, alisema hiyo iko kwenye maamuzi yenu, kama mlipitisha kwenye sheria ndogo ndogo zenu basi ni jambo la kuliangalia ninyi wenyewe.

Wana JF, hivi kweli katika mambo muhimu kwa mtu aliyepewa nafasi na rais aseme wanachotaka watu wake na hilo ni muhimu kweli? Ndugu wana JF, Mkoa wa Kagera, ni mkoa ulio na maumivu makubwa kutokana na Ugonjwa wa UKIMWI, hivyo Halmashauri zote zilijiwekea utaratibu wa kupunguza muda wa starehe za usiku ili angalau wawili watatu wanaweza kunusulika, hali ni mbaya.

Hivi wana jf kufunga disco saa 6 usiku kuna ubaya gani kwa mtu mstaarabu anayejali familia yake. Sasa huyu bwana nilimfananisha na yule mtu aliye pewa nafasi ya kuomba maombi matatu akashia kuomba sinia la wali, ombi la pili likampa kichwa cha Kuku, na la tatu likawa la kuomba awe na kichwa cha binadamu maombi yakaishia hapo. Hadithi hii ilikuwa inatuelekeza kutotumia fulsa muhimu kiupumbavu.

Baada ya Ujinga huo, nililazimika kutaka kujua CV yake ikoje hasa kwa upande wa shule Katika hilo niligundua
kuwa alifeli form Six Alikwenda nchi za nje akiwa Houseboy wa Salim Ahmed Salim ndipo alijifunza Kiingereza huko, na watanzania kwa kutojua kiingereza akaonekana kuwa ni wa maana kwa vile anaweza kuongea kiingereza.

KWA VYOVYOTE VILE HUU NDIYO MUHULA WAKE WA MWISHO.
Hivi Mhe. Kagasheki ameforge vyote hivi

School Name/Location

Course/Degree/Award

Start Date

End Date

Level
Fordham University ,New York U.S.A

BA. (Economics)

1973

1975

GRADUATE
Fordham University ,New York U.S.A

Studies Political Economy

1976

1977

CERTIFICATE
St. Bernard's College (Masaka)

A-Level Education

1971

1972

HIGH SCHOOL
Nyakato Secondary School

O-Level Education

1967

1968

SECONDARY
Kahororo Secondary School

O-Level Education

1969

1970

SECONDARY
Bukoba Muslim School

Primary Education

1960

1963

PRIMARY
Grewal Indian Public School

Primary Education

1964

1966

PRIMARY

EMPLOYMENT HISTORY

Company Name

Position

From

To
Ministry of Home Affairs
Deputy Minister

2/13/2008
World Intellectual Property Organization
Director

1990

2005
Ministry of Foreign Affairs
Ambassador

1977

1990
 
kwani we mleta uzi na unayemtuhumu mnatofauti gani,kama ungekuwa na akili kabla ya kumjadili kagasheki ungeweka sifa zako ili tuone kama unahaki ya kumjadili kagasheki yawezekana we ni bora hata ya isha mashauzi yule dada mwimba tarabu angalau hutunga mashairi yenye vina ulichoondika wewe kama ingekuwa ni mbonga wewe ni mlenda kabisa,

Ndugu yangu Lizaboni, sijui baada ya yaliyotokea Bukoba unalolingine la kusema. Haya yote ni matunda ya ujinga wa Kagasheki, mtu mzima lakini ovyo kabisa. Amewaponza wabeba mikoba wake kwa ujinga wao. Nadhani siku nyingine utakubaliana na mimi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom