hata akirudi Rungwe wale wakazi wa huko watakuwa nao wamefaidika na mawasiliano......walijua ni lini wangepata vilongalonga.....babu is there to stay bana
siku hizi tigo wezi sana eti robo shilingi baada ya dakika ya kwanza!hiyo dk ya kwanza wanatoza sh 300!airtel ni cheap sana na hakuna foleni kwenye kupiga
Air tel wana lipi jipya ambalo hakuna kampuni nyingine sioni haja ya kulazimishana kuhamia labada kama ukihamia unapewa kitu cha maana zaidi ya hapo mitandao yote sawa tu wanafanana kila kitu hamna jipya!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.