McFerson
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,120
- 2,167
Salaam wana jamvi
Nimejaribu kutembelea mitandao mbali mbali, Instagram Facebook/meta Twitter,n.k nimegundua Kuna harakati za kizalendo huko mitandaoni zinaendelea, vijana ni mabalozi wa sekta hii ya utalii inayoipatia nchi fedha nyingi za kigeni. Wengi wamefungua account za kuhamasisha utalii kwa nchi yetu kitaifa na kimataifa wahamasike ili watalii waongezeke nchini.
Ni wakati sasa kwa wizara ya utalii na mali asili kuwatambua na ikiwezekana kuwakutanisha na kuwapa semina nini wapost na nini wasipost na mengine mengi yatakayoonekana ni mema kuwajuza.
Asanteni
Nimejaribu kutembelea mitandao mbali mbali, Instagram Facebook/meta Twitter,n.k nimegundua Kuna harakati za kizalendo huko mitandaoni zinaendelea, vijana ni mabalozi wa sekta hii ya utalii inayoipatia nchi fedha nyingi za kigeni. Wengi wamefungua account za kuhamasisha utalii kwa nchi yetu kitaifa na kimataifa wahamasike ili watalii waongezeke nchini.
Ni wakati sasa kwa wizara ya utalii na mali asili kuwatambua na ikiwezekana kuwakutanisha na kuwapa semina nini wapost na nini wasipost na mengine mengi yatakayoonekana ni mema kuwajuza.
Asanteni