kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,890
Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza
Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, 'drone' hiyo ya Wazayuni imetungulia na vikosi vya Hamas mashariki mwa jiji la Dir al-Balah, katika Ukanda wa Gaza na hivi sasa ipo mikononi mwa wanamuqawama hao.
Jeshi la utawala haramu wa Israel linadai kuwa ndege yake hiyo isiyo na rubani imedondoka kutokana na hitilafu za kifundi, na eti ni muhali kuvujisha taarifa zozote muhimu kutoka kwenye chombo hicho.
Vikosi vya muqawama vya Palestina mara kwa mara vimekuwa vikitungua 'drone' za utawala pandikizi wa Israel, ambazo hutumiwa na utawala huo wa Kizayuni katika operesheni za mauaji na ujasusi.
Mbali na Palestina, ndege hizo zisizo na rubani za utawala haramu wa Israel zimekuwa zikiruka kinyume cha sheria katika anga za Syria na Lebanon. Utawala ghasibu wa Israel umekuwa ukitumia drone katika hujuma na mapambano ya kukabiliana na harakati za muqawama wa Kiislamu.
========
According to Palestinian media, the drone was "shot down" by Hamas forces east of the city of Dir al-Balah.
The Israeli military claims the unmanned aerial vehicle captured by Hamas is a "Skylark" that has "crashed" during an "operation" over the Gaza Strip.
It further claimed that the UAV crashed due to "technical error", but it ruled out the possibility that potentially sensitive information would be leaked from the drone, Press TV reported.
Along with the drone seizure, a high level of Israeli military vehicle traffic was also reported along the Gaza border.
The Israeli regime regularly uses drones for reconnaissance and assassination operations, involving violation of Palestinian, Syrian and Lebanese airspace.
Hamas has confiscated Israeli drones several times, either after they crashed due to technical problems or in the wake of shooting them down.
The resistance group has warned the Tel Aviv regime against escalating tensions, warning that it would face the consequences.
The Israeli military frequently bombs Gaza, with civilians being the main target of such attacks.
Sent using Jamii Forums mobile app
Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
Vyombo vya habari vya Palestina vimeripoti kuwa, 'drone' hiyo ya Wazayuni imetungulia na vikosi vya Hamas mashariki mwa jiji la Dir al-Balah, katika Ukanda wa Gaza na hivi sasa ipo mikononi mwa wanamuqawama hao.
Jeshi la utawala haramu wa Israel linadai kuwa ndege yake hiyo isiyo na rubani imedondoka kutokana na hitilafu za kifundi, na eti ni muhali kuvujisha taarifa zozote muhimu kutoka kwenye chombo hicho.
Vikosi vya muqawama vya Palestina mara kwa mara vimekuwa vikitungua 'drone' za utawala pandikizi wa Israel, ambazo hutumiwa na utawala huo wa Kizayuni katika operesheni za mauaji na ujasusi.
Mbali na Palestina, ndege hizo zisizo na rubani za utawala haramu wa Israel zimekuwa zikiruka kinyume cha sheria katika anga za Syria na Lebanon. Utawala ghasibu wa Israel umekuwa ukitumia drone katika hujuma na mapambano ya kukabiliana na harakati za muqawama wa Kiislamu.
========
According to Palestinian media, the drone was "shot down" by Hamas forces east of the city of Dir al-Balah.
The Israeli military claims the unmanned aerial vehicle captured by Hamas is a "Skylark" that has "crashed" during an "operation" over the Gaza Strip.
It further claimed that the UAV crashed due to "technical error", but it ruled out the possibility that potentially sensitive information would be leaked from the drone, Press TV reported.
Along with the drone seizure, a high level of Israeli military vehicle traffic was also reported along the Gaza border.
The Israeli regime regularly uses drones for reconnaissance and assassination operations, involving violation of Palestinian, Syrian and Lebanese airspace.
Hamas has confiscated Israeli drones several times, either after they crashed due to technical problems or in the wake of shooting them down.
The resistance group has warned the Tel Aviv regime against escalating tensions, warning that it would face the consequences.
The Israeli military frequently bombs Gaza, with civilians being the main target of such attacks.
Sent using Jamii Forums mobile app