Hamas wanaua wanajeshi, Israel wanaua raia

Hamas wanaua wanajeshi, Israel wanaua raia

Status
Not open for further replies.
shida ni kutosoma maelezo vizuri....ndo maana nikaweka etc....hizo ni sample tu na inawezekana hata miaka ikawa nimekosea ndo maana nikakwambia uende google maana huko kuna ukweli wote na source ya habari utachagua mwenyewe usije sema nimekuwekea link hapa.na nikatoa angalizo soma then uje ukiwa neutral....lakini ukishavaa udini utabaki kila siku kubishana kama uko kijiweni na hutapata ukweli.....uzuri kila kitu kiko wazi huna haja yakudanganywa

kuhusu ushirika hebu someni Russia ni mshirika a watu gani......????? napenda fact na si udini
russia hana mshirika,russia anafanya biashara,actually marekani ndo mshirika wa nchi za kiarabu kuliko russia.

Russia wako karibu na syria kwa sababu kwao syria ni strategic area na wana navy base hapo.
Uhusiano wa russia na irag ni wa mbali na wala irag haijihusishi na gaza,iko busy na mambo yake.
Qatar ni mshirika mkubwa marekani na inaweza kuwa ya nne wa kununua silaha za marekani duniani.
Na huko ndo viongozi wa hamas wameweka hdquater.
Nchi za kiarabu nyingi zimeegemea upande wa america japo wamarekani wanawatumia kuwakata makali ili wasiwe na wazo la kuungana na kuwa na umoja.
 
IDF ni moja kati ya majeshi imara zaidi duniani kwa vifaa, mafunzo, ujasiri na mapambano katika uwanja wa vita. Huwezi kufananisha na wahuni wafuga madevu wa Hamas kutoka Gaza. Hizo raids za kutumia tunnels kama panya-buku ni za kuvizia and they only target lightly manned/armed posts with less than 10 IDF soldiers. Vile vile Hamas wanarusha makombora ya Katusha na Qassams indiscriminately into Israel.

Uliza watu wa Ashkelon au Sderot na miji na kibbutzim nyingine ndani ya Israel wanavyoteseka kutokana na mamia ya rockets yanayorusha hovyo hovyo ndani ya Israel na Hamas. Kinachowaokoa ni Mungu na ile Iron Dome defense shield. Sioni mantiki kwa mtu mzima kufurahishwa na mauaji yawe ya wapalestina au waisraeli. Wale wote ni wanadamu. Kuona vitoto vya kipalestina vimeuawa au kuumizwa haipendezi lakini pia kuuawa na kuumizwa kwa watoto wa ki-israeli nayo haipendezi. Vita si kitu kizuri. Tuwaombee mahasimu hawa waache mapigano.[/QUOTE

Umemaliza mkuu. You deserve to be a Great Thinker. Tumwombe Mungu awasaidie kutatua mgogoro huu kwa njia ambayo Mungu mwenyewe ataona inafaa. Tujiepushe na kutoa maneno ya uchochezi na maneno yoyote yanayoweza kuleta chuki dhidi ya mtu mwingine.
 
Hiyo ndio hali halisi ya kile kinachooendelea pale gaza, kwa habari za kutangazwa wanajeshi 56 wa Israel wameuawa wakati raia zaidi ya 1000 wa palestine nao wamepoteza maisha. Kwa mtazamo wa kiundani unaona kwamba wanajeshi wa israel wamejificha nyuma ya vifaru vyao na kufyatua mabomu kwenda gaza, wanaogopa kuwafata hamasi kwa vita vya chini kwa hiyo wameamua kufyatua rocket kama mtu aliyechanganyikiwa wakati upande wa pili HAMAS wanawashambulia wanajeshi wa israel kwa vita vya chini. Makomandoo hawa wa hamasi wamekuwa wakiingia Israel kwa kutumia undergroung tunnelling system na kwenda kushambulia majeshi ya israel hukohuko kwao. Kama kweli israel ni wababe wa kivita kwanini wasipambane na wanajeshi wenzao wa HAMAS na kuacha kuvurumisha mabomu kwa raia wasio na hatia yoyote.
huna ujuzi wewe hivyo kaa kimya! Nikuulize; raia wangapi wa Israel wamekufa? Kama hujui, askari ameajiliwa kuwalinda raia! Ukiona raia wengi wanakufa ujue jeshi haliwajibiki vyema kuwalinda au jeshi linatumia raia kama ngao yao! Sawa?
 
Wapiganaji wa Hamas.

article-1102100-02E64548000005DC-854_634x383.jpg

A Palestinian man mourns the death of a Hamas security member after an Israeli missile strike that killed 205 today


article-1102100-02E668D9000005DC-803_634x346.jpg


Bodies of Hamas policemen lie on the ground of their destroyed police compound following an Israeli air strike in Gaza today


article-1102100-02E618D7000005DC-768_634x413.jpg



http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2008/12/27/article-1102100-02E618D7000005DC-768_634x413.jpg


wacha uongo..unaleta clip ya 2008
 
:flame:
Waarabu wote WANa ndevu hawana sare za kijeshi utajuaje huyu ni Hamas mwanajeshi na vile vile wanajichanganya na raia ata kuua hao wanajeshi Wa Israel ni kwakuwa kutambua raia na wapiganaji ndio inakuwa inshu pili utashangaa watanzania wanaandamanA kwa ajili ya kuwatetea waarabu wakati waafrica wenzao wanauana sijasikia wakiandamana na kulalamika nenda drc,Rwanda ,Nigeria eti kisa tu........,,,,,... Tunaandamana ni ubaguzi Wa kutojitambua!
dogo wacha
2Q==
ni kuonyeshe wanaume wa kazi wanao wajambisha Israel hawa hapa
 
Kill all Palestina and give space to Wayahudi to own back their promise land.
 
http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2008/12/27/article-1102100-02E618D7000005DC-768_634x413.jpg


wacha uongo..unaleta clip ya 2008

Sawa, ila wewe ulifikiri kuwa Hamas hawafi ..??
Wanakufa kama kawaida tu.

Angalia 'wapiganaji' wako wa Hamas wanavyoendesha vita ..!!

Hamas terrorists fire rockets at innocent civilians in Israel while hiding among innocent civilians in schools and mosques.​

1c8f8bd309975b3178b06286f11b36b6.jpg
 
shida ni kutosoma maelezo vizuri....ndo maana nikaweka etc....hizo ni sample tu na inawezekana hata miaka ikawa nimekosea ndo maana nikakwambia uende google maana huko kuna ukweli wote na source ya habari utachagua mwenyewe usije sema nimekuwekea link hapa.na nikatoa angalizo soma then uje ukiwa neutral....lakini ukishavaa udini utabaki kila siku kubishana kama uko kijiweni na hutapata ukweli.....uzuri kila kitu kiko wazi huna haja yakudanganywa

kuhusu ushirika hebu someni Russia ni mshirika a watu gani......????? napenda fact na si udini

shida ni kusahau ulichomaanish kwenye post yako ya mwanzo,ulitaka kutuamnsha israel haishindwi na waarab,ndo nikauliza vita hyo ya wiki tatu ya israel na hizbollah 2006 ambayo pro israel hampend kuitaja
 
Unatuwekea picha za 2008 mjinga kabisa wewe hujui hizo picha zina links ya wapi ume kopi .
Umeitia daily mail ya 2008.na hilo lilikua shambulio la wakati wa amani.hai vijana wamepasi mafunzo ya police na israel wakawashambulia.
Ndio ujue hao wazayuni ni wachokozi na wanyama kiasi gani.
Tunataka kuona kwennye uwanja wa vita 2014 july

Picha za mwaka 2014 hutaweza kuziangalia.
Jamaa zako wa Hamas wanegundua mbinu mpya ya kutanguliza wanawake na watoto vitani.
Wenyewe Hamas wamajichimbia mashuleni na miskitini.

[h=1]UNRWA investigating discovery of 20 rockets found in empty Gaza school[/h] UN agency for Palestinian refugees condemns 'first of its kind' incident, saying missiles removed and relevant parties informed.
The UN agency for Palestinian refugees is investigating the discovery of 20 rockets hidden in one of its vacant schools in the Gaza Strip. The UNRWA condemned the incident as a "flagrant violation" of international law, adding that the rockets had been removed and that the relevant parties had been informed.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom